Asha:'Nina hamu kweli ya kumuona kipenzi changu , yupo bomba ni mwaarabu haswa, akinikubali tunaachana, sawa la aziz?'
John:"Hamna noma, hata ivo si unakumbuka siwezi kukuoa kwasababu dini zetu ni tofauti? mimi sina shida wewe kaliwe tiGO tuu"
Currently Active Users Viewing This Thread: 53 (21 members and 32 guests)
Abdulhalim, Abtideso, araway, care4all, Guma Mlugaluga, Interested Observer, kicheruka, kinombo, Masatu, Mbalamwezi, MLEKWA, Mpendatz, Mpita Njia, Mr. Bean, Mr. Zero, Mugerezi, nyakyegi, wakubaha, Yebo Yebo, Zion Train
wewe ndie kilaza msahaulifu.
kila mzungu mkristu?
Hivi, wavaa vilemeba waliozikwa pale kaole ni wakristu?
Magwiji wa slave trade afrika mashariki ni wakristu?
Waliowageuza wazenj miaka ile ni wakrsitu?
Nani alikuwa wa mwisho kabisa kufanya biashara ya utumwa tanganyika na zenj...
.
Hii imekaa vibaya
Anambembeleza JK, then anamponda Mr.Clean
Wazenj na waislamu wengi wametokea kumchukia sana Mr.Clean kwa yale mapigo ya zenj na m.chai
Huyu jamaa ni zero tuu, kuna lipi la kumsifia au kumshauria JK, ni wazi kuwa JK ndiye mbovu/m-baya kuliko Mr.Clean, lakini kwa...
Inadhihirisha watz tusivyojipenda ama kuwapenda watu weusi wenzetu.
Muhindi yeyote yule si wetu huyo.....
Mengi kawajibu vizuri sana,....ooohhh my God,...Sofia ni kilaza na zezeta.
Wakuu nisaidieni nimeona ippmedia wanasema Rostam Azizi abanwa.....,amwita Mwakyembe mbaguzi wa Rangi.....
Nomaaa,wenye pc hapo tuwekeeni hiyo news wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.