mi ni kijana na nilikua na mpenzi wangu na tulikua tunapendana sana. ila dosari ilianza pale alipoenda kusoma mwanza, kila mtu alianza kucheat kwa upande wake, na kila mtu akawa ana wivu kwa mwenzie kitu kilichopelekea mapenz kuvunjika. but huko mwanza alipata rafiki ambaye alikua wana share...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.