Mkuu umenifurahisha hapa,mimi bado sijaelewa kwani kila mkoa una switch yake?mimi nasubiri nihakikishe inakuwaje,pia tupate uhakika wa hizi mambo za digital isijekuwa biashara kweli,wizara ingesimamia hata usambazaji na uhakiki wa hivyo ving'amuzi,wanapoachia soko huria itakuwa vurugu!na hizi...
Mungu awape busara maaskofu na viongozi wa kikristo,waongoze waumini wao katika njia za kulinda amani,vita vya kidini ni vibaya sana na huwa haviishi kirahisi.Wailslamu watambue vita na machafuko havitawabagua na wataathirika pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.