Baadhi ya Wauguzi wa kike ktk hospitali ya mkoa wa Mbeya ni kama si wanadamu jinsi wanavyowafanyia wakina mama wajawazito.Mfano ,mke wangu aliambiwa mtoto amekufa na matusi makubwa makubwa ajabu mke wangu alijifungua mtoto mzima.Baada kufanya utafiti nimegundua kuwa kauli za mtoto amekufa...
Siamini ninachokiona tbc ,hili ni shirika la taifa la utangazaji , nashangaa linashindwa kurusha mechi za AFCON.Miaka ya nyuma itv walikuwa wanarusha kwa sasa wakati wa sayansi na technojia hawarushi.JIPANGENI MTUFURAHISHE WA WATANZANIA.TTAKRIBANI MASHIRIKA UTANGAZAJI YA MATIFA MENGINE...
nimekuwa nikisumbuliwa na aina mbalimbali za nematodes tangu mwaka 2005.Nimetumia dawa mbalimbali lakini bado tatizo lipo na huwa naambiwa hao nematodes wamekuwa sugu mpaka wanatengeneza cyst , naombeni ushauri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.