Nimekuwa nikifuatilia shughuli zinazoendelea hapa Mwenge stendi ya Daladala cha kushangaza naona hata viongozi wako kimya niliongea na kijana mmoja mfanyabiashara akiwa amebeba meza yake ya biashara kichwani akasema mbona viongozi wa manispaa wanajua maana ukitaka upate sehemu ya kuweka angalau...
Nimeanza na swali nikiwa sielewi maana halisi ya Umoja Wa wanawake Tanzania hasa ukuzingatia muda tulio nao kwa sasa tupo kwenye vyama vingi lakini cha kushangaza mama zetu ukiangalia siku ya uchaguzi wao walivalia nguo zenye rangi ya chama cha CCM yaani kijani na njano wengine mnaweza mkaleta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.