Hiyo inaitwa ISTIDRAAJ katika lugha ya kiarabu mana yake KUPURURIWA. Mtume anasema :
"Utakapomuona mja anapewa ayapendayo katika dunia pamoja na kufanya kwake maovu basi jua hiyo ni istidraaj, kisha akasoma maneno ya Allah : Basi walipoyasahau yale walio kumbushwa tuliwafungulia milango ya...
Mifano katika Quran na hadithi ipo mengi tu Allah anafanya atakavyo, kuna watu wa aina tofauti
1. Anapofanya kosa hupewa mtihani na matatizo ili arudi. Allah anasema katika 32:21
21. Na tutawaonjesha adhabu khafifu kabla ya adhabu kubwa, huenda labda watarejea.
2. Anapofanya kosa huachiwa na...
Maradhi yakimpata mtu mwema inakua ni mtihani kwake na majaribio pamoja na kufutiwa dhambi,
na yakimpata muovu inakua ni ukumbusho kwake kurudi kwa Mungu,
na kuna waovu wengine wanaachiwa wastarehe bila kupata onyo ili siku wakikata roho adhabu iwapate kisawasawa
Inawezekana hakumkataza na kosa hilo kwa hiyo na yeye anaadhibiwa kwa kosa lake hilo , kisha siku ya qiyama kila mmoja atalipwa kwa matendo yake. Nakutolea mfano:
Kwanini wewe akikutafuna sisimizi mmoja tu unawauwa wote?
Mjenzi aliefanya kosa katika ujenzi, siku likiporomoka wote waliokuwemo...
Adhabu ikija haichagui
Allah anasema:
25. Na iogopeni Fitna ambayo haitowasibu walio dhulumu peke yao kati yenu. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu.
Ikiwa kuna watu wanafanya maovu na hakuna anaewakataza basi adhabu ikija haichagui
Newala, tandahimba kitunguli, nimkupa hali itakua mbaya kupita kiasi. Mvua zinaweza kudumu hadi wiki ijayo. Kupata picha ya mvua inaweza mvua ya miaka 2 ikanyesha ndani ya siku 5. Chukua tahadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.