Ninatumia samsung galaxy s3 lte, hivi hii sim haina Fm radio au mimi ndo sijui inapatikana wapi?? Naomba mnisaidie majibu wanaoifahamu vizuri hii sim..
Tumbo linanisumbua sana nilijarb kwenda hosp nikachukua vipimo nikahambiwa choo ndio kinasumbua nikapewa dawa hila dawa haijanisaidia chochote pia naweza nisipate aja kubwa kwa muda wa siku 4 hadi 5 na nikila muda kidogo njaa nisaidieni jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.