Waziri Wa kilimo Chakula na Ushirika ambae pia ni mbunge Wa Bunda tayari amepata wadhamini dakika Tano baada ya kuchukua fomu ambao wamemwini kuwa MKT Wao Wa CCM TAIFA AMBAE PIA NI AMIRI JESHI MKUU NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Mbunge Wa Bunda ambae pia ni waziri Wa kilimo chakula na Biashara Mhe. Stephen Masato Wasira anaelezwa kuwa Tishio ndani ya CCM Kuliko watia nia wengine hii inatokana na uadilifu wake na umahiri wake Wa kujenga hoja na kuzitetea ndani na nje ya chama chake pia ni MTU anaelezewa kutokua na...
Mwanasiasa mkongwe Nchini Mhe. Stephen Masato Wasira amesema nchi imekosa uadilifu kwa sasa na inahitaji kiongozi anaeweza kukemea Rushwa kwani rushwa imekua kitanzi cha kuwanyongea wanyonge Wa Taifa hili.
Pia Leo Mhe. WASIRA ANATARAJIWA KUCHUKUA FOMU YA KUOMBA KUTEULIWA NA CHAMA CHAKE MAJIRA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.