ni kweli lara, kuna cku nilimuhurumia jamaa mmoja pale nyerere square dom, kaita demu wake si akaja nawenzie 4, walivyoambiwa waagize menu wote wakaorder chipsi kuku nusu, eeeebwanaeee! jamaaa lilimshuka kinoma, nyie mabinti ya nn kualikia maandamano machalii wenu?
to that time ulimuona wa maana, kwa sasa hutaki hata kuongozana nae kisa kawa analogue, eti haufeel kuongozana nae wala kumtambulisha kwa mabest, ukisikia ukicheche ndio huo na inawezekana watu wanakupiga chini kwa mashauzi yako, acha hizo, mbona usiku unampa mzigo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.