Nafikiri mimi namchukia kuliko nyie wote kwa sababu ameninyima haki yangu ya kupiga kura kama mwanafunzi wa chuo kikuu na pindi alipoulizwa na waandishi wa habari alijibu kihuni kwamba yeye siye wakuu wa vyuo ili hali akijua kuwa yeye ni ndiye mteuzi wa wakuu wa vyuo na manaibu wakuu wa vyuo...
HATA KAMA MAVI NI MBOLEA HAIONDOI UKWELI KWAMBA MAVI YANANUKA, NINACHOMAANISHA NI KWAMBA FISADI SIO MWILI AU RANGI BALI NI TABIA KWA HIYO FISADI NI FISADI TUU,Chenge hatufai watanzania akitaka akachunge ng'ombe na awe spika wa ng'ombe na sio wa-tz ila namkubali sita hata kama ana kimada kwani...
Nilikuwa nimepotea kidogo 7bu nilikuwa mbali sana na mtandao ila nimerudi na ninampongeza sana Dada Regina na Chadema kwa ujumla wake na pia na namuomba akawachakachue mafisadi.
China miaka ya nyuma baadhi ya viongozi wao walifanya makosa kama haya haya ya kina Mkapa matokeo yake leo hii wanaishia kunyongwa na wengine wanaishia kujiua kwa kujirusha kwenye miamba na kufa .
MIMI NASEMA IKO SIKU INAKUJA KATIKA NCHI YETU AMBAPO WANAYOYAFANYA WENZETU TUTAYAFANYA NA SISI.
mimi nasema hivi wanaosema Mkapa aachwe apumzike wanakose kwanin nani amempa kazi? Na vile vile vile lazima tutumie usomi wetu vizuri na taaluma zetu sawa sawa kwamba kila baada ya kazi kufanyika lazima tufanye analysis na kwa maana hiyo lazima tuzungumze mpaka Yesu arudi na pia naomba niseme...
A CLOUD OF ANNOINTING.
A cloud of annointingfor wealth is hovering over the land ofTanzania.It is a thick cloud like the one appeared to the Israelites in the desert,this is a cloud of protection,provision and guidance.
It will protect this nation fron calamities and danger;it will...
''BABU ATAKA KUSEMA''
USIWE NA MASHAKA SANA KUHUSU AMANI YA NCHI HII SABABU
WANAOTAKA KUHARIBU AMANI YA NCHI HII AMBA HATA SIAFU
NA VIROBOTO NA VIUMBE WASIO NA UTASHI NA WASIO NA UHAI...
Kimefika kipindi ambacho Mungu ameanza kuitembelea Tanzania,
ambapo Mafisadi wote mtaanza kukanyagana wenyewe na wenyewe mtakimbia na kuacha wasafi waendelee.Mungu ibariki Tanzania Mungu ibariki Afrika.Chenge amua kujiuzulu 7bu hapo ulipo hauna pa kupumulia na umeaibisha mke wako na watoto wako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.