kuna msemo wanasema maisha ya chuo ni bata sio kama advance,sijui kwa coz zingine ila kwa coet ukiamini huo msemo utaumia tena unaweza ukaingiza sup za kutosha tu,kwa coet msuli unaitajika tena kuna mda mwingine unazidi hata ule wa advance ,kuna week kazaa za mwanzo za kurelax baada ya...
mnaokipondea udsm wengi wenu mtakuwa udom au vyuo vingine vya kata,yaan kubali ukatae udsm ndo chuo cha ukweli Tz nzima,imepiga gepu kali sana vyuo vingine hapa Tz hata ukiangalia rank za vyuo bora africa na ma To wengi na wakali wengi wa Tz utawakuta udsm kama kilaza huwezi ukaenda pale,kama...
mwanamke ni rahisi sana kurubuniwa,kwanini shetani hakumfuata adam akamfuata hawa? aliona kumrubuni hawa ni rahisi kuliko adam,na hapo ndipo dhambi ya asili ilipoanzia na ndo sababu binadamu wote lazima tufe kutokana na hiyo dhambi ya asili,so then mwanamke ndo aliye sababisha binadamu wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.