Habari za kazi wakubwa,
Mpangaji wangu amepata transfer ya ghafla kurudi nchini kwao hivyo ameniachia furniture zake zikiwepo sofa hizo hapo chini kwenye picha nimuuzie.
Bei ya kuuza ni Milioni 2.8
Kama unahitaji details zaidi au uko interested please ni PM
Shukran
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.