Hakuna kozi ya IT ambayo haina ajira na umuhimu, sio miaka hii ya karibuni tangu miaka ya nyuma, issue za Information Technology zinahitajika mno duniani kote.Kutokana na sera mbovu za nchi zetu hasa nyingi za africa, hazikutilia maanani habari za IT, lakin kwa sasa ndio zinazinduka maana dunia...
HAJAKOSEA YUKO SAWA,, WEWE NDIO HUJUI VIZURI, KUNA UTOFAUTI MKUBWA KATI YA COMPUTER SCIENCE NA SOFTWARE ENGINEERING, COMP SC. sometimes inatumika kama general term, na wakati mwingine kama specific kozi,, Software engineering ina fall kwenye computer science, kama sayansi ya computer ila sio...
wewe una akili kweli? wewe unasema ana mtu tayar sasa wewe unachotaka ni kipi? umuharibie mwenzako? au ndo manager wa michepuko? na nyie ndo mnaowakuta wanawake wenye stability 'F' mkamaliza kabisa ndoa zao.acha ujinga
ni vigumu kumkubali mleta mada kwa sababu jana tu umetoka kununuliwa au kununua ngono au uko naye kwa sababu ya pesa, ni haki yenu kukataa ila kuna wanaume na wanawake wa kweli bado wapo
jamii bado haielewi na inafikiria zaidi ngono kuliko vitu vya msingi.ebu jaribu kuelewa mada ya jamaa. ameongelea mapenzi na sio ngono kama mnavyodai nyie msiofikiria vzr
hapo sawa mkuu!! ndo maana me naamini all programmer especially (computer programmers) are great thinkers, they think deep and deeper to search for the truth and solutions for problems. nilishawaambia mapenzi sio pesa au utajiri, ukisema mapenzi ni pesa unakosea, ulitakiwa useme biashara ya...
mkuu kaongea ukweli na huu angalau ndo mfano wa mwanzo kuwa great thinker, kuna watu wanadai kaacha vitu kibao kama pesa n.k. lakin niwambie kitu, jamaa kaongelea mapenzi ya kweli the way ambavyo mwenza mmojawapo anaweza mchit mwenzie, tukisema pesa hata hivyo ameisema japo sio direct, pale...
wewe chalii mapenzi sio suala kuu hapa ila kinachoonekana, ni kwamba mchaga sio mtu wa kuweka ndani kama mke na mapenzi ndo sehemu ambayo wengi wamekutana na hao watu wa moshi na mimi mwenyewe, unamuoa unadhani ni mke kumbe ana programme zake. umewahi kujiuliza kwa nini wa mama wengi wa kichaga...
aiseee mi bora nioe mtu ambaye naona kabisa ni malaya kuliko mchaga anayetoka mlangoni mwa kanisa amebeba biblia na kitabu kitakatifu cha nyimbo huku akifikiria kama atapata hela kwa namna yeyote ile
kaka hongera kama umeweza kuishi naye vizuri, kwa kifupi sio wote ila wengi wao ni wakorofi,hawapendi kushindwa wanatamani kilichopo ndani ya nyumba mgawane au muandikishe kwa jina lake, hawajui kulea wanaume. nimeishi naye kama rafiki, tukaingia mapenzi nikaona kama jehanamu nikasepa nikisikia...
mleta mada hana tatizo lolote japo manamwita mmbea, ana maneno, n.k, niseme hv, kama mngejua ni namna gani hili swala la kutosema ukweli kuhusu mtoto ni wa mwanaume yupi kwa wadada ni tatizo kubwa hasa kwa watu makini ambao hawapendi usumbufu usio wa maana mngemuunga mkono, lakini ukiona...
Yaani wewe hata ku comment thread yako hatukutakiwa ila ni uungwana tu wa kukushauri, ebu jifunze kufikiria, huna sourses wala surpoting material ya kukomaza point yako ya kijinga na uchunguzi hujafanya na hata ungefanya uchunguzi hii sio title ya project au research yako ikiwa ungekuwa msomi...
kama mnaona mapenzi sio habari ya muhimu mkae mbali na wanaume wanaotaka mapenzi au muolewe na wachaga wenzenu na sio kuanza kusumbua watu vichwa vyetu. mnanikera sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.