thnx mtotosix kwa ushauri wako lakin tatizo linapokuja ni kuwa hapendi nimwambie ukweli na hata nikimwambia kitu chochote kinachousu yeye ambacho hakinifurahishi ananiambia ninadharau xana na mimi naogopa kumkwanza tht y nw huw cimwambii umenilizisha au la cz naogopa kumkwaza cz nampenda...
nashukuru xana london1 ndo jamii inaitaji watu kam nyie lakini tatizo linapokuja analazimisha mi ndo mwenye matatizo hyvo nikamwone doctor hataki kuamini kila ninapomwambia mbona hata maandalizi ni mabaya alisubutu hata kuniambia we mwanamke mgumu xana kulizika.......... zen cijataka kumwona...
jamani wana jf naomba kusaidiwa mimi nikiwa katk yal mambo ye2 na my haniiii huwa sifeel kitu na wakati mwingine huwa nasikia maumivu ....... mpenzi wangu akaniambia labla ninatatizo kwenye kizazi tht y cifeel chochote so nikamwone doctor nilikubaliana nae kuwa huenda kweli nikawa na matatizo bt...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.