Wanaweza kutana wote wako sawa wewe unatafuta mbinu ya kuondoka na mwenzio kumbe nae anawaza hilohilo ukiondoka anasema asante Mungu kuniondolea shetani huyu
Watu wa JF bwana mnafurahisha sana, inamaana wote humu mnatumia ndom, kila mtu anauliza kama alikumbuka au ni wepesi wa kuongea wazito wa kutenda. halafu mnajuaje yeye ni mzima? Je kama yeye ndo anagawa?
I love you Kasinde maana unajiamini na unajua unachokifanya, huangalii nani atasema nini...
Wewe nae unajiumiza kwa kitu kidogo kiasi hicho, je angekuwa hazai na ukaambiwa tatizo ni hilo la kutoa mimba si ungejiua, mwanamke kakuzalia watoto na anakupenda unaanza kukumbuka ya nyuma ya kutoa mimba, mimba yenyewe haikuwa yako tatizo ni nini?! kwa taarifa yako asilimia kubwa ya mabinti...
Pole sana huyu mpenzi ana wapenzi wengi balaa, wengine watajifariji hawampendi lakini ukweli utabaki kuwa kila binadamu mwenye akili timamu anampenda, mimi pia nampenda sana huyu pesa.
Mchaga kufika kileleni ni vigumu maana wao huwa wanafikiria pesa utakayompa na si mapenzi unayompa. kazi unayo jitahidi kumpa pesa nyingi atafika tu kileleni wala usihangaike kutafuta dawa tafuta hela hapo utamfikisha mpaka alie
Mapenzi ya kweli yapo ila watu siku hizi wanaishi kwa mazoea, na kwa hiyo misemo ndo inafanya watu wanapoingia kwenye relationship wanakuwa na imani kwamba hakuna mapenzi ya kweli hata akipewa mapenzi ya kweli anajua anadaganywa tu.
Pole mamy, mapenzi ya siku hizi ni kama umeme wa tanesco hayatabiriki eti ni lini yatakata, Mimi nishaamua kutokupenda ila tunasaidiana tu, asinipende nisimpende tusaidiane tu maana hakuna jipa katika mapenzi nishapendwa mpaka nikawa chizi unalambwa mpaka unyayo unapendwa mpaka unajiona uko...
Hivi kuchezewa ni kufanywaje yaani? hii kitu huwa siielewe huwa nasikia watu wanasema eti kanichezea halafu kaniacha! au kachezewa halafu kaachwa, amechezewaje yaani?! maana tunachezeana wote, tunafurahi wote, tunaachana wote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.