"Mzee wa watu katoa kiasi cha mboga kulingana na uwezo wake,
Kashangaa? Kuona anakula vitu vya bei ya juu,
Kuliko gharama alizotoa" ..... haka kanyimbo alikaimba nani na kanaitwa jee?
Habari zenu! Ningependa kuuliza kwa hawa wataalamu na wanaosoma ICT. vyuo accredited by NACTE vinatutaka waombaji tuwe na maamuzi sahihi ya course sababu once umejaza course huwezi kuibadilisha mbeleni. Swali: kuna tofauti kati ya Computer science na Computer engineering?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.