Search results

  1. B

    Jamani nahitaji msaada tafadhali

    Naomba mnisaidie ndugu zangu. Tatizo langu ni kuwa kila ninapokuwa nina hamu ya sex badala ya ute vinatoka vitu kama ute uliochanganyika na damu yaan kama period inataka kuanza... Napata shida sana kwan nashindwa kujua nn tatizo Nahitaji msaada wenu tafadhali
  2. B

    Natafuta Kazi Yoyote Ilimradi ni Halali

    Jamani wadau nahitaji msaada wenu. Mimi ni mhitimu wa chuo kikuu course ya Tax management. Nahitaji kazi ya aina yoyote hata ya usafi wa maofisini nitafanya mana maisha ya mtaani jamani yanachosha. Pls wadau nisaidieni Me niko Dar...
  3. B

    Hellow!!!

    Jaman mgen naomba kukaribishwa JF...Naamin wadau ni wakarim na waelewa
Back
Top Bottom