Jamani wadau hiki ndiyo kifo cha CCM Mtwara kulikokuwa kunaaminika ndiyo ngome ya chama hicho kikongwe,nimefanikiwa kuhudhuria mikutano iliyofanyika kata ya Mnyambe,Kitangari chini ya makamu m/kiti UWT Taifa watu ni kidogo wote wazee halafu hoja ni CHADEMA,ila nimefurahishwa na risala ya kata...
Kwa mtu aliyetembelea na kuishi mikoa ya kusini atakubaliana nami kuwa maisha ya mikoa ya Mtwara na Lindi ni karibu na "jehanamu."Nasema hivyo ni kiwa na maana ya kwamba Wananchi karibia 90% hawapati huduma za kijamii,mfano
1:MAJI suala la maji huko Mtwara hasa halmashauri za Newala, Masasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.