Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Najua Nyinyi Wakristo huwa Mnaswali kwa Mungu mkipitisha sala hiyo kwa Yesu Kiristo kwa kuwa yeye anatekeleza jukumu la kuwa mpatanishi kati yenu na Mungu Mwenyezi; Je ni hivyo kweli mnavyotakiwa...
1 Reactions
33 Replies
361 Views
Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana. Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za...
6 Reactions
31 Replies
905 Views
Nimefuatilia kidogo kilichotokea Afrika Kusini nikakumbuka hoja ya Baba wa Taifa kuwa mpinzani wa kweli wa kisiasa Tanzania,atatoka ndani ya CCM. Mwaka 1995 Lyatonga Mrema (RIP) alipojitoa CCM...
0 Reactions
6 Replies
117 Views
Uzinzi na uasherati una gharama kubwa mno! MOJA WAPO YA GHARAMA YA UZINZI/UASHERATI! 1. Gharama ya Vyumba vya kufanyia Uzinzi/Uasherati wenu 2. Gharama za vyakula vya watu wawili (Chako nacha...
22 Reactions
40 Replies
995 Views
Hawa viongozi toka wameanza ziara za kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi kwa kigezo cha faragha na kisayansi kwa kweli wamefeli pakubwa sana. Wametatua kero ngapi...
0 Reactions
6 Replies
70 Views
Kama mnavyoona hapo Jana watu wanalalamika yanga kawaalibia ila ni kutokana na tamaa game ya fainali unampaje mtu. Mazima wakati unajua Kuna extra time kitendo Cha kuipa timu mazima hivyo ni...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Asilimia zaidi ya nusu ya muda wangu natumia kukaa na walevi kila siku na zaidi ya asilimia 90 ya marafiki zangu ni walevi wa pombe za viwandani na hata za asili. Nilichokigundua kwetu sisi...
14 Reactions
60 Replies
1K Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
105 Reactions
221K Replies
17M Views
Jaman moja ya kitu ambacho wazungu wametupoga K.O nacho ni hili. Wachambuzi wengi walimwingiza mkenge Fei kwa kigezo cha kusema eti Mpira ni Ajira na kuna siku utafikia kikomo. Yes tunakubali...
0 Reactions
6 Replies
49 Views
Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Msigwa ataongea na Waandishi wa habari Leo saa 5 00 asubuhi nyumbani kwake Kihesa - Iringa Yajayo yanafurahisha na tutawajuza kutokea hapa...
4 Reactions
18 Replies
280 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,705
Posts
49,783,998
Back
Top Bottom