Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Binafsi nimefarijika Wasanii wetu kupelekwa Korea Kusini kujifunza mambo ya Sanaa za Uigizaji Ukiangalia Tamthilia zetu na Sinema zimejikita katika mambo ya kipuuzi tu hasa Mapenzi na zote...
1 Reactions
21 Replies
190 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kiukweli ninavutiwa sana na utulivu na umakini mkubwa sana wa kiuongozi alionao Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha Watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia...
11 Reactions
81 Replies
471 Views
Huyu ndugu alikuwa mpole tu ila alipofika kidato cha tatu akawa haendi sana shule ikawa anashinda sana kwenye nyumba ya ibada Baadae akaacha kabisa shule kwa kusema anaingia kujifunza mambo ya...
11 Reactions
29 Replies
772 Views
Wanabodi habari?? Natarajia kwenda dodoma kwa shuhuli itakayoniweka huko kwa siku zisizopungua kumi... Na hali yangu kimfuko hainiruhusu kukaa kwenye zile gest/ lorge za 15000 na kuendelea...
5 Reactions
23 Replies
168 Views
Wakuu naombeni ushauri, Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye makalio vimemtokea, shidah...
2 Reactions
49 Replies
770 Views
Kuna namba yangu ya simu nilikuwa siitumii for almost 3 years kwa sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu. Baadae nikagundua ile namba amepewa mteja mwingine. Just imagine nimeitumia namba ile for...
1 Reactions
16 Replies
241 Views
Waziri wa Fedha Bezalel Smotrich na Waziri wa Usalama wa Taifa Itamar Ben-Gvir wametishia kujiuzulu na kuvunja serikali iwapo Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu atakubali pendekezo la kusitisha...
2 Reactions
21 Replies
625 Views
Habari wakuu, nawashauri msifanye makosa kama niliyofanya, ukipata pesa wekeza katika biashara na si majengo. Fursa nyingi zimenipita kutokana na mtaji kuwa mdogo sababu ya sehemu kubwa ya faida...
24 Reactions
97 Replies
5K Views
Wakuu ni hivi kutokana Hali ilivyo sasa naona kuna kila sababu ambayo itaitoa Dar kama namba moja katika swala Zima la uchumi. Sababu ni hizi. 1. Kuhamishwa Kwa ikulu na ofisi za Serikali. Hii...
23 Reactions
417 Replies
17K Views
Hii mikwaju ya Dancehall Ragga ya enzi hizo haijawahi kukosekana kwenye playlist zangu. Naweza nikairudia mara mia mia bila kuichoka, zamani kulikuwa na vichwa sana, kuanzia wasanii, producers...
3 Reactions
6 Replies
91 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,469
Posts
49,776,525
Back
Top Bottom