Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Viongozi kama ifuatavyo: 1. Amemteua Bw. Kenan Laban Kihongosi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu. Kabla ya...
11 Reactions
117 Replies
9K Views
Hii ni kwa wanaume wote, tukae mguu sawa. Je, hii kitu inaitwa limbwata ipo kweli ama ni mental cases tu zinasumbua watu? Kama lipo la mkoa gani ndo kali? Unadhani kama ipo tunachomoanaje humo...
0 Reactions
2 Replies
85 Views
Aliyekuwa mgombea Ubunge kupitia Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) na kushika nafasi ya pili nyuma ya Mgombea wa CCM katika uchaguzi wa Jimbo la Kwahani Unguja (Zanzibar), Shara Amran...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mkurugenzi wa TRC Kadogosa amesema nauli ya Treni ya Mchongoko( Mjusi) itakuwa Kati ya tsh 100,000 - 120,000 Source: Swahili Times Mlale Unono 😃😃 ========= Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli...
14 Reactions
112 Replies
3K Views
Habari wadau. Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba. Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo...
35 Reactions
77 Replies
2K Views
CEO wa PPP Bwana David Kafulila katika Ukurasa wake wa tweeter ( X ) ameisifu Serikali ya Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuwa ndio nchi pekee inayokopa ndani kwa riba ndogo...
6 Reactions
73 Replies
433 Views
A
Tembo wamekuwa changamoto kubwa sana kwa Wilaya hiyo kuhatarisha maisha ya watu. Hivi sasa ni takibani mwaka wa tatu, tembo wamekuwa changamoto kwao wakisababisha upotevu wa maisha kwa watu kila...
0 Reactions
4 Replies
49 Views
Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema wamealikwa kwenye kikao Cha kupitia Kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa Lakini hawajapewa rasimu ya Kanuni Ili wazipitie na kikao ni June 15...
6 Reactions
54 Replies
2K Views
TAIFA STAR'S IMEBEBWA NA YANGA Ubora huu wa timu yetu ya taifa umeletwa na Yanga, kwa sasa taifa Stars wachezaji wanacheza kwa kujiamini hususani mabeki, kujiamini kwa wachezaji wetu wa Yanga...
7 Reactions
15 Replies
501 Views
Balozi Hassan Iddi Mwamweta wa Tanzania amewasilisha Hati ya utambulisho kwa Baba Mtakatifu Papa Francisco anayeketi kitini pake Mtume Petro Sherehe za utambulisho zilihudhuriwa na makardinali wa...
0 Reactions
12 Replies
105 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,820
Posts
49,867,008
Back
Top Bottom