Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Jamaa leo nilikuwa nae sehemu tunagonga moja mbili, sasa ghafra nikaona jamaa kabadilika. Nikamuuliza vipi mbona umechange ghafra! Jamaa akaniambia Single mother kamtumia meseji inayosema...
3 Reactions
17 Replies
418 Views
Kwanza kabisa niseme wazi mimi ni mwanachama wa kawaida wa CCM nisiye na cheo chochote ndani ya chama. Wala siko kwenye kundi la kiongozi yeyote. Kwa hiyo huu uzi naandika bila kujali niko CCM...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Siku moja nipo kwenye mizunguko yangu ya hapa na pale maeneo ya Ubungo nikakutana na jamaa mmoja baada ya kuzungumza nae kwa muda akaniambia nimelogwa na kuanza kuniambia mambo ya nyumbani kwetu...
14 Reactions
64 Replies
1K Views
Leo nimeunganisha matukio ya vyama vikongwe vya siasa Afrika ambavyo vimeonesha weledi wake na kufanya nchi zao ziwe za kupigiwa mfano Afrika. Chama cha kwanza ni chama cha United National...
10 Reactions
48 Replies
438 Views
Ebana wanajamvi inakuwaje? Nilikuwa natembea kuelekea kwenye Kituo cha basi upande wa pili. Nilipokuwa navuka zebra kuelekea kwenye hicho kituo kulikua na mzee mmoja kakaa anasubiri basi. Cha...
10 Reactions
40 Replies
290 Views
Mtu anakuja kwako ana onyesha shida imembana anakuomba umsaidie iwe ni pesa, connection, uwepo wako, n.k. yawezekana hata wewe haupo vizuri kifedha, umebanwa na ratiba, kupata connection ni...
0 Reactions
0 Replies
3 Views
Niaje wazee, nikaona Acha ni share na nyie hiki kideo Maana kuna matukio mengine mpaka yanachekesha, inasemekana jamaa hawa walikuwa wanadinyana kwenye eneo la Jeshi ndiyo wakakutwa, naona...
9 Reactions
23 Replies
753 Views
https://www.youtube.com/watch?v=9of5FD2D9xw Nimebubujikwa na machozi.
1 Reactions
4 Replies
61 Views
Muda sio mrefu nimetoka julwaa la love connect nimeshtushwa sana kuona watu wanavyowaponda watu ambao wanatafuta wachumba/ wake Wengine wanatumia mwavuli eti wanafanya utani na masihara kiukweli...
3 Reactions
6 Replies
86 Views
Wakuu Habari za majukumu? Nimekuwa nikiongea na fundi mmoja ni rafiki yangu sana yupo kwenye garage moja ya pikipiki maeneo ya gongo la mboto. Akawa ananiambia mdogo wangu (sababu kanizidi...
2 Reactions
14 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,622
Posts
49,861,887
Back
Top Bottom