Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hii hapo chini ni gari Mazda CX5 ya 2014 ambayo unamlipa mjapan milioni 14 unusu. Kikokotoo cha kodi ya tra kwenye gari hilo ni milioni 10 unusu. Ukijumlisha unapata kama milioni 25 hivi. Hapo...
4 Reactions
34 Replies
529 Views
Wakuu nimejaribu kuangalia kwenye website yao sioni hata sehemu ya kulog in. UPDATES : Friday 31st Leo nimeenda ofice za UTT hapa mwanza. Kwa maelekezo mdau alinielekeza zipo JB BELMONT...
5 Reactions
134 Replies
3K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
524K Replies
30M Views
Kwa hizi kauli kwamba Mitandao wa Twitter X ifungiwe, nikudhihirisha ccm hawana uwezo wa hoja tena. Kwanamna ccm ilivyo, sio chama cha siasa tena bali Genge la Wahuni tu. Pauline Gekul alitia mtu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Unaona kwamba msichana unayechumbiana naye sasa, ana nafasi kubwa ya kuifanikiwa kimaisha haraka kuliko wewe. Ndiyo maana hupaswi kutumia ujana wako wote kujenga uhusiano na mwanamke. Ukweli ni...
5 Reactions
8 Replies
237 Views
Huko vyuoni mbona hamuweki vitengo vya kuratibu nidhamu na maadili ya watoto wetu wawapo masomoni, Mbona mmefanikiwa kuratibu taaluma na kudhibiti wizi wa mitihani vyuoni. Vyuoni imekuwa sehemu...
1 Reactions
2 Replies
47 Views
Kwa Sasa imekuwa ni kawaida kusikika matukio ya watu/watoto wadogo kulawitiwa. Najiuliza kama ni matukio yameongezeka ama utoaji taarifa ndiyo umekuwa mkubwa hivi Sasa!!?? Lakini pia Kuna jambo...
3 Reactions
30 Replies
282 Views
Habari wadau Hivi mtoto akipenda kuchezea na kukalia ungo ni ishara gani? Serious answer please
2 Reactions
19 Replies
143 Views
Wanaukumbi. 🚨 HAMAS ILITUMA MAJIBU KUHUSU PENDEKEZO LA KUSITISHA MAPIGANO KWA WAPATANISHI PAMOJA NA MABADILIKO. Haniyeh na Nakhaleh walikabidhi majibu ya pendekezo la "israeli" la kusitisha...
2 Reactions
101 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,536
Posts
49,859,887
Back
Top Bottom