Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mpenzi nilienae Kila siku ana matatizo jamani Kila siku yeye hasara yeye , kikosa ajira yeye ...Kila siku ananipa hbr mbaya nahisi ana mikosi
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Wananchi wa Malela Twangoma mkabala na nyumba za NSSF wameamuliwa kuhamisha vitu vyao na kutafuta makazi sehemu nyingine ili kupisha zoezi za ubomoaji wa nyuza za wananchi waliokuwa wakiishi hayo...
0 Reactions
9 Replies
58 Views
https://www.youtube.com/live/N5UQz7YOdMQ Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akipokea gawio na michango kutoka mashirika na taasisi za umma Ikulu jijini Dar es Salaam...
2 Reactions
8 Replies
168 Views
Habar ndugu zangu jamiiforums . Niende kwenye mada chap. Jana nimetoka gengeni kuulizia tu viazi kidogo naambiwa viazi vimepanda bei mara dufu .kwamba gunia moja ni laki 1 na elfu 70 kamili...
0 Reactions
3 Replies
105 Views
Kwakweli hii kitu imekuwa kawaida kabisa kwa sasa. Wadada wetu tena wengine kwa kupenda wenyewe kabisa wanaruhusu kufanyiwa mchezo huu. Najiuliza tatizo ni nini hasa? Ni mfumo wa maisha...
8 Reactions
259 Replies
41K Views
Anamaanisha " wee umeisha..hapa umeisha😂😂😂"
3 Reactions
26 Replies
945 Views
Mimi ni Mkristu dhehebu la RC na nililelewa kwenye familia yenye kufuata mafundisho ya RC na nimebatizwa,kupata komunyo ya kwanza hadi kipaimara na kufunga ndoa ya kikatoliki. Lililonileta ni...
60 Reactions
229 Replies
5K Views
Vitz kijicho Cc 990 Mafuta inanusa Full ac Hain kipengele gari imetunzwa sana Dada anatak mil 6.5 maongezi yapo 0783610244
3 Reactions
28 Replies
676 Views
Habari zenu wana Jf, Nina safari ya kwenda Masasi kesho insha'allah then nitaenda Newala kisha Mtwara mjini. Naomba kuulizia anayefahamu gesti za bei nafuu kwa Newala na Masasi bajeti ya sh...
3 Reactions
79 Replies
2K Views
Dunia hii ya leo ya kibepari kila mtu anataka fedha ya mwenzake kwa njia yoyote ile. • Nashangaa mtu anajifanya anagawa pesa za UNICEF anawatapeli watu. • Nashangaa pale mtu anapojifanya rafiki...
2 Reactions
5 Replies
135 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,182
Posts
49,851,480
Back
Top Bottom