Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kwema ndugu zangu. Kama mada inavojieleza hapo juu, kunamshikaji ana mke wake amezaa nae watoto wawil huyo wa pili anamiezi minne sasa, ila kwa sasa huyo mke yupo anaishi kwa wazazi wake alikuja...
1 Reactions
3 Replies
4 Views
Naitaji mtu wa kunipa kazi za umeme.nina uzoefu wa kutosha na nimefanya kazi nyingi tu kama wewe ni mjenzi unayechukua kazi za umeme basi mimi nipo hapa.ukiamua kuniuzia kazi sawa tu au...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ukimsikiliza makonda kwenye mikutano yake ,inaonyesha ccm imeshindwa kuisimamia serikali ngazi ya wilaya na mikoa. Hao wenyeviti wa ccm wilaya na mikoa,kupitia kamati za siasa wanashindwa kukagua...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
ni muhimu sana kua karibu na mwenzi wako mkizungumza na kubadilishana mawazo, kwa karibu sana tena kwa kujiamini sana. ni muhimu sana muonekano wenu, uwe wa kupendeza na kuvutia ninyi wenyewe na...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Mchungaji Msigwa ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Nyasa anayemaliza muda wake amepinga Mjumbe wa sekretari Mrema kusimamia Uchaguzi jimboni kwao Source Jambo TV Yajayo yanafurahisha😀...
3 Reactions
107 Replies
3K Views
Kwanza kabisa ifahamike hakuna watu wanapata usingizi mzuri kama wanywaji wa pombe,Hawapati ndoto za ajabu au hallucinations au sleep paraylis. Tatizo kubwa la mitungi huwa kikiumana kesho yake...
14 Reactions
158 Replies
3K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu amesema baada ya maongezi yake na Rais Samia kule Ubelgiji aliweza kulipwa kiinua mgongo chake Lissu anasema kwa mujibu wa Maelezo aliyopewa na Wabunge...
10 Reactions
29 Replies
1K Views
  • Sticky
Full name: Chelsea Football Club Nickname(s): The Blues, The Pensioners Founded: 10 March 1905 League: Premier League Website: ChelseaFC.com Ground: Stamford Bridge, (Capacity...
154 Reactions
122K Replies
7M Views
Naitaji mtu wa kunipa kazi za umeme.nina uzoefu wa kutosha na nimefanya kazi nyingi tu kama wewe ni mjenzi unayechukua kazi za umeme basi mimi nipo hapa.ukiamua kuniuzia kazi sawa tu au...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT. Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike...
19 Reactions
262 Replies
7K Views

FORUM STATS

Threads
1,858,101
Posts
49,738,253
Back
Top Bottom