Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wiki hii zimetoka nafasi kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita kujiunga na mafunzo ya JKT. Moja ya kitendo kinachokosa utu na kinachokiuka utamaduni wetu ni kuwavisha watoto wetu wa kike...
19 Reactions
263 Replies
7K Views
Mtoto wangu ana miezi Saba juzi mama yake amenambia hajawahi kumuona amesimamisha uume, Ilinichanganya sana akili ilibidi nijipe muda nikakaa naye kama saa mbili hivi asubuhi kuanzia Saa 10 usiku...
15 Reactions
83 Replies
1K Views
https://www.pc.go.tz/ Shilole ameonekana akitangaza hospitali hiyo hapo kwenye picha na kusisitiza wagonjwa waende na kwamba ni hospitali Bora. Kimaadili si sawa, ni kama hospitai hiyo inataka...
1 Reactions
10 Replies
155 Views
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona, nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu, hana thanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400, yale ni manunuzi ya...
29 Reactions
1K Replies
81K Views
Kwanza kabisa ifahamike hakuna watu wanapata usingizi mzuri kama wanywaji wa pombe,Hawapati ndoto za ajabu au hallucinations au sleep paraylis. Tatizo kubwa la mitungi huwa kikiumana kesho yake...
14 Reactions
160 Replies
3K Views
Azam kutoa Milioni 50 kila mwezi kwa kila timu ya ligi kuu, hadi sasa umeona mabadiliko yapi kwenye ushindani wa ligi yetu? Ewe mdau wa soka la Tanzania, umeona mabadiliko?
2 Reactions
23 Replies
588 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu amesema baada ya maongezi yake na Rais Samia kule Ubelgiji aliweza kulipwa kiinua mgongo chake Lissu anasema kwa mujibu wa Maelezo aliyopewa na Wabunge...
10 Reactions
31 Replies
1K Views
Kwema ndugu zangu. Kama mada inavojieleza hapo juu, kunamshikaji ana mke wake amezaa nae watoto wawil huyo wa pili anamiezi minne sasa, ila kwa sasa huyo mke yupo anaishi kwa wazazi wake alikuja...
1 Reactions
3 Replies
4 Views
Naitaji mtu wa kunipa kazi za umeme.nina uzoefu wa kutosha na nimefanya kazi nyingi tu kama wewe ni mjenzi unayechukua kazi za umeme basi mimi nipo hapa.ukiamua kuniuzia kazi sawa tu au...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ukimsikiliza makonda kwenye mikutano yake ,inaonyesha ccm imeshindwa kuisimamia serikali ngazi ya wilaya na mikoa. Hao wenyeviti wa ccm wilaya na mikoa,kupitia kamati za siasa wanashindwa kukagua...
0 Reactions
0 Replies
1 Views

FORUM STATS

Threads
1,858,101
Posts
49,738,253
Back
Top Bottom