Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nashangaa sana na inashangaza sana Ni juzi tu nimeona bodaboda zenye picha yake nchi nzima kutoa kwa machawa wake Bodaboda zenye thamani ya karibia bilioni 60!! Rais Samia kwa jina lake na pesa...
1 Reactions
13 Replies
198 Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
105 Reactions
222K Replies
17M Views
Siyo kwa lengo baya wala majungu, fitina, chuki , husuda n.k.! Kwenye utawala wa Kikwete jina la Ridhiwani lilivuma mno lakini likiegemea zaidi upande hasi! Yaani ilitengenezwa picha kwamba mtoto...
7 Reactions
27 Replies
986 Views
mnadhani hivi vyote vimetokea kimiujiza ? furaha tulizokuwa tunazopata hasa kimataifa mnadhani ni mpera umetoa zabibu ? Kufuzu robo fainali mashindano ya caf ishakuwa kawaida, timu kubwa kama al...
5 Reactions
65 Replies
1K Views
SIGIL YA MAMMON; FUNGUA NJIA YA MAFANIKIO NA UTAJIRI KWA KUTUMIA SIGIL YA MARMON. Najua wengi wetu tunapenda Pesa na mafanikio, Tunapenda kumiliki mali (Material gain) basi katika pita pita...
3 Reactions
33 Replies
791 Views
Habari JF, Pamoja na zogo nyingi za mamluki hasa wale waliopeleka watoto wao kuishi na kusoma Ulaya dhidi ya Rais wetu Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kuongezeka eti wakidai uchumi wa Tanzania...
37 Reactions
214 Replies
11K Views
Leo napita youtube naona bubu anaimba tena cha kushangaza naona anazidi kutrend https://www.youtube.com/watch?v=ivdazTpwhUo
1 Reactions
3 Replies
24 Views
Habari wanaforums, naomba kijuzwa Data au Mb zinatengenezwa wapi, haiwezekani mtu yeyote kitaa akazitengeneza kimagendo?
5 Reactions
13 Replies
187 Views
Linajifanya taifa lenye nguvu kumbe hamna kitu, Miezi 9 ya vita sasa wameshindwa kung'amua mateka wako wapi...Miezi 9 wameokoa mateka wanne kwa maana hyo itawachukua miaka 22 kuwaokoa mateka...
3 Reactions
39 Replies
541 Views
Habari za uzima Wana jf🙏 Kwa heshima kubwa Sana nimekuja kwenu hapa. Pamoja na kwamba hapa Kuna utani na mizaha ya hapa na pale Naomba tuiweke kando Tujadiri hili. Mimi ni mfugaji mzoefu na...
6 Reactions
57 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,828
Posts
49,842,992
Back
Top Bottom