Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako 1. IPHONE -watu wanaoigiza maisha. kwa Mwanamke anaonekan...
48 Reactions
197 Replies
4K Views
Yani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi. Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini...
26 Reactions
131 Replies
3K Views
Kuna fununu sana Arusha kwamba mtoto pendwa ndio anaichukua Hoteli ya Mount meru , na ikumbukwe pia kuna fununu za kuinunua Impala Hoteli ilio kuwa ya Bilionare Mrema. Sasa ni Mount Meru Hoteli...
5 Reactions
35 Replies
569 Views
Nimekutana nae hapa Mbezi Makonde EB Restaurant. Jamani unaweza kufa au ukauza ukoo wote!!! Hivi anapatikana wapi?
21 Reactions
315 Replies
52K Views
Salaam shalom!! Tulipopata Uhuru wa Nchi yetu, hatukuwa na wawekezaji wengi wa kuwekeza kwenye migodi, Serikali ilihodhi vitega Uchumi vyote na kusimamia, Hawa wawekezaji wa sasa, nionavyo Si...
6 Reactions
38 Replies
309 Views
Habari za wakati huu ndugu zanguni....... Nimekaa mahali maeneo ya magomeni karibu na bara bara kuu nikasikia hilo tangazo........wakitangaza kupitia gari ndogo....maarufu kama "KIRIKUU" Kwa...
1 Reactions
11 Replies
113 Views
Kutokana na malezi ya kisasa na mifumo ya kisasa ya maisha ile kanuni ya mtii mwanaume wako kwa wanawake wa kisasa ni kitu ambacho hawakielewi kabisa wala kujua maana yake wakiwa katika umri wa...
13 Reactions
56 Replies
999 Views
Kwa maslahi mapana ya taifa na kwa kushirikiana na taasisi moja ya dini tumeazimia kufanya utafiti ili matokeo ya utafiti huo yaweze kuisaidia Serikali ya CCM, kupata mzizi iwapo kama kweli...
6 Reactions
277 Replies
4K Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, amewataka Watanzania kuwaombea wanaofanya ubadhirifu na wezi ili roho hizo za kuhujumu nchi ziwatoke...
3 Reactions
20 Replies
260 Views
watoto wanaonyesha umahiri mkubwa sana juu ya walichojifunza mashuleni Ecademic improvement kwa watoto wetu imeimarika sana na inatia moyo mno... uelewa na ufahamu wa watoto wetu katika kusoma...
1 Reactions
1 Replies
21 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,308
Posts
49,825,820
Back
Top Bottom