Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari wanajf, DED Manyoni uwe na utu Kwa watumishi walio Chini yako haswa ukizingatia afya ndiyo msingi wa rasilimali watu, Kipi kinakufanya kushindwa kumruhusu mtumishi wako Kada ya Uchumi...
1 Reactions
7 Replies
148 Views
Wakuu nimepita sehemu nikaikuta hii meme ambayo ilitengenezwa na Wataalam iki mnukuu aliyekuwa mtabiri na msoma nyota mashuhuri Afrika Mashariki na kati marehemu Sheikh Yahya Hussein, vipi huyu...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
  • Poll
INTRO Watu wengi wanaopenda kudadisi na kutafakari undani na ukweli wa mambo . Mara nyingi hugundua kwamba mfumo wetu wa maisha kiujumla una maswali mengi sana abayo hayana majibu kamili...
77 Reactions
4K Replies
266K Views
Wasalaam, Hivi majuzi mdogo wangu alinipigia simu akilia kwamba pesa ya boss wake imeibwa kupitia Mtandao. Anasema kutoka kwenye Akaunti yake namba 0152631907400 zilizotolewa TZS 2,800,000...
1 Reactions
7 Replies
12 Views
Korea Kusini imesaini mikataba 50 ya biashara,mikopo na sekta za Rasilimali na Nchi za Afrika ikiwemo Tanzania. Rais wa Korea amesema anaendesha sera ya ushirikiano wenye faida kwa.pande Mbili...
0 Reactions
6 Replies
70 Views
  • Article
Wakuu nimekutana na taarifa hii inatahadharisha wanawake wajawzito kunyw maji baridi wakati wa uja uzito. Taarifa inaonya kwamba jambo hili ni hatari kwa afya. Upi ukweli wa jambo hili?
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kuna Kungwi mmoja ametushauri wanaume eti tunapo gegenda tuwe tunatoa japo miguno, kwasababu inawaamsha sana wadada. Sasa kwenye hizi Nyumba za kupanga itakuwaje? Akina dada hebu watuambie...
2 Reactions
30 Replies
354 Views
Cuckoo ni jamii ya ndege wasafiri ambapo husambaa katika kipindi cha kiangazi kwenye bara la ulaya, Asia na Africa. Jamii hii ni aina ya ndege hukwepa majukumu kwa kupandikizia watoto wao kwa...
3 Reactions
4 Replies
16 Views
Ni kweli kafanya kazi kubwa sana kuimarisha na kuijenga chadema. Amepambana sana, apewe mauaji yake. Hata hivyo, Mbowe ana madhaifu makubwa katika uongozi wake ambayo sasa yamekomaa na kuanza...
0 Reactions
21 Replies
267 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
44 Reactions
52K Replies
3M Views

FORUM STATS

Threads
1,860,510
Posts
49,804,140
Back
Top Bottom