Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wazee kwani ni nani anawashauri viongozi Wa Afrika.!? Embu fikirieni Rais anapanda ndege na Cabinet yake... Naposema Cabinet simaanishi baraza la Mawaziri ..namaanisha wale anaohisi waende nae...
6 Reactions
21 Replies
158 Views
Sehemu ya hotuba ya Rais Kikwete inayothibitisha kuwa hana mawazo ya kuinua hali ya maisha ya watanzania bila ya kukinga mikono kwa nchi matajiri; asilimia 99 ya mambo anayotaka nchi matajiri...
1 Reactions
210 Replies
21K Views
Ni mtifuano mkali Ukurasani X Kati ya Mchungaji Msigwa na Chawa wa Mbowe M Maranja Mashambuliano hayo, kebehi, kejeli na kudharauliana kunaonyesha jinsi Chadema ilivyosheheni wahuni Chonde...
4 Reactions
30 Replies
205 Views
Nimeona niulize hili swali kwa sababu muda huu naangalia mubashara mechi ya mtoano kati ya Tabora United vs JKT. Kilicho nihuzunisha ni maamuzi ya kibabaishaji ya hawa waamuzi wote watatu wa kike...
6 Reactions
27 Replies
453 Views
1. Wanawake huanguka kimapenzi kupitia maneno ya mwanaume, wanabaki katika upendo kwa sababu ya matendo yake. 2. Wanachukia wakati mwanaume asiyejulikana anatumia majina ya karibu kama "Mpenzi"...
8 Reactions
53 Replies
1K Views
James Mbowe amesema Demokrasia ya Chadema ni kubwa sana ndio sababu mchungaji Msigwa ameweza kuwaita Waandishi wa Habari na kuwashutumu viongozi wenzake bila kuwa na ushahidi wowote Mbowe amesema...
6 Reactions
39 Replies
946 Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia mijadala mingi hapa jukwaani ihusuyo punyeto…wengi wamekuwa wakieleza kwa hisia namna wanavo teseka na janga hili,wengine wamekuwa wakilibeza kwa kuwa wamekata...
14 Reactions
132 Replies
6K Views
Tatizo ni kwamba wasomali hawapendi kuwekwa kundi moja na waafika licha ya kuwa ni waafrika, wao hujiona waarabu lakini wanawaona ni waafrika, kiufupi wao hawana strong bond na waafrika wengine...
5 Reactions
39 Replies
1K Views
It is another blessed Tuesday and thank Allah for this wonderful moment OK OK OK twenzetu kwenye Mada yetu Wakuu hahahahaha I'm back again Wakuu ana kweli kilimo hakimtupi Mkulima aisee hawa...
7 Reactions
28 Replies
547 Views
Kiungo huyo amechukua kiasi hicho cha pesa ni moja wapo ya kipengele cha mkataba wake na Azam fc kila msimu akifikisha magoli 10 na zaidi atakuwa akipata milioni 90. kwahiyo tuseme Feisal katika...
1 Reactions
4 Replies
10 Views

FORUM STATS

Threads
1,860,311
Posts
49,798,300
Back
Top Bottom