yaani CCM imeambatana na kuandamana sambamba na dhamira njema ya maendeleo kwa wanaichi wake, kisiasa kijamii na kiuchmi.....
inapendwa mno, viongozi wake wanakubalika sana aise....
hakuna namna...
Habari zenu wajuvi, naombeni msaada kama kuna mtu (watu) amesha wahikupona vipele vya ndevu vile vinavyo otaga maeneo ya shingo anisaidie yeye alitumia dawa gani kuvimaliza.
Kwasababu vimenitesa...
Kumekuwa na mtindo wa kudai nafasi za Uongozi ktk serikali ya Muungano kati ya dini mbili; waislamu na wakristu. Kuna watu hadi hutoa hesabu kati ya dini hizi mbili. Ni dalili ya udini ndo inaleta...
Welcome to the Real Madrid C.F. Jamii Forums thread. Keep up to date with the latest news & engage with the club and other supporters.
The club formed in 1902.
Stadium: Santiago Bernabéu...
Kuna watu huwa wanajizarau kuwa Bongo bahati Mbaya ila huwa nacheka tu, ila hawajui sehem inaitwa INDIA au Wahindi
Moja kati ya watu wa hovyo linapokuja swala la biashara ni Wahindi Mhindi ni mtu...
Wanajamvi,
Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni
Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku Chunya, Mbeya.
Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40...
Hivi kuna mtu wakumkamata Netanyahu na Putin?
Tuache utani, kama Africa kusini walishindwa kumkamata Al Bashir, dunia inaweza kuwakamata Netanyahu na Putin?
Dunia imejaa unafiki. Viongozi wa...
Imeshanitokea mara nyingi hii kitu na inapeleka mahusiano yangu mengi nayavunjika sana.
Yaani upo na mwenzako faragha ila ili ufike mshindo unaanza kufumba macho na kuvuta hisia ya demu mwingine...
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news.
Lakini Cha ajabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.