Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

yaani CCM imeambatana na kuandamana sambamba na dhamira njema ya maendeleo kwa wanaichi wake, kisiasa kijamii na kiuchmi..... inapendwa mno, viongozi wake wanakubalika sana aise.... hakuna namna...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari zenu wajuvi, naombeni msaada kama kuna mtu (watu) amesha wahikupona vipele vya ndevu vile vinavyo otaga maeneo ya shingo anisaidie yeye alitumia dawa gani kuvimaliza. Kwasababu vimenitesa...
1 Reactions
4 Replies
22 Views
Kumekuwa na mtindo wa kudai nafasi za Uongozi ktk serikali ya Muungano kati ya dini mbili; waislamu na wakristu. Kuna watu hadi hutoa hesabu kati ya dini hizi mbili. Ni dalili ya udini ndo inaleta...
0 Reactions
5 Replies
9 Views
Hivi mfumo wa kutuma maombi ya ajira jeshi la polisi ni kwangu tuu unasumbua ama na wengine mmekutana na changamoto hii?
2 Reactions
334 Replies
21K Views
  • Sticky
Welcome to the Real Madrid C.F. Jamii Forums thread. Keep up to date with the latest news & engage with the club and other supporters. The club formed in 1902. Stadium: Santiago Bernabéu...
39 Reactions
51K Replies
2M Views
Kuna watu huwa wanajizarau kuwa Bongo bahati Mbaya ila huwa nacheka tu, ila hawajui sehem inaitwa INDIA au Wahindi Moja kati ya watu wa hovyo linapokuja swala la biashara ni Wahindi Mhindi ni mtu...
2 Reactions
2 Replies
3 Views
Wanajamvi, Leo nimekuja, mwenzenu yamenifika shingoni Nina miaka mitatu tangu nimeingi kwenye uchimbaji wa madini huku Chunya, Mbeya. Nimamiliki karasha, nimeshapoteza zaidi ya milioni 40...
24 Reactions
334 Replies
11K Views
Hivi kuna mtu wakumkamata Netanyahu na Putin? Tuache utani, kama Africa kusini walishindwa kumkamata Al Bashir, dunia inaweza kuwakamata Netanyahu na Putin? Dunia imejaa unafiki. Viongozi wa...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Imeshanitokea mara nyingi hii kitu na inapeleka mahusiano yangu mengi nayavunjika sana. Yaani upo na mwenzako faragha ila ili ufike mshindo unaanza kufumba macho na kuvuta hisia ya demu mwingine...
10 Reactions
55 Replies
1K Views
Samia suluhu Hassan ndio alikuwa Kiongozi pekee wa awamu ya 5 ambae alijitoa muhanga kwenda kumjulia Hali Tundu Lisu hospital Nairobi wakati wengine wakisubiria breaking news. Lakini Cha ajabu...
5 Reactions
131 Replies
872 Views

FORUM STATS

Threads
1,855,960
Posts
49,678,271
Back
Top Bottom