Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Habari za mda huu Naitwa Denis manase mmi Ni fundi wamagari nipo Arusha natafuta kazi hususan Ni ufundi wa magari naweza kutengeneza Magari kama -Toyota _Mistubish _subaru _tata _nk Kama Kuna...
0 Reactions
1 Replies
17 Views
Mie ni kijna miaka 24 ,mwenye hofu ya Mungu na mpambanajii Mie ni mwenyeji wa Kahama , nipo mwanza kuanza maisha rasmi baada ya kumaliza chuo dar es salaam na kupambana sana , nimefanya biashara...
11 Reactions
65 Replies
2K Views
Wanaukumbi. Picha za kushtua zinaonyesha maafisa kadhaa wa Chuo Kikuu cha Washington St. Profesa wa historia wa SIUE Steve Tamari anaripotiwa kulazwa hospitalini akiwa amevunjika mbavu na...
3 Reactions
84 Replies
1K Views
Maisha baada ya chuo ni magumu sana, mtu unaweza kuwa unajitafutia riziki mfano boda boda unakutana na disappointments nyingi. Kuna watakaokwambia kuwa umesoma Kwa ajili gani na unafanya kazi...
0 Reactions
6 Replies
52 Views
Nadhani Serikali Iweke Adhabu Kali kwa Yeyote Atakaevuta Sigara hadharani. Maana haiwezekani Tuleteane Magonjwa ya cancer za Mapafu kwa Ajili ya Starehe ya Mtu mwingine. Mtu ananunua Sigara Dukani...
4 Reactions
20 Replies
153 Views
Viongozi wa dini mnaalikwa kwenye matukio mengi ya kitaifa mnakaa meza moja na wakubwa kweli mnashindwa kuteta na waheshimiwa ili Basata iwaite wasanii na kuwaomba wapunguze matusi kwenye nyimbo...
3 Reactions
23 Replies
259 Views
Looking for a meticulous and reliable housekeeper to maintain the cleanliness and organization of your home or office? Meet Zena! With expertise in dusting, cleaning, ironing, and caring for...
1 Reactions
5 Replies
119 Views
Wakuu,...unaanzaje anzaje kutongoza mishangazi maana mishangazi unapoifata inakuwa seriouz sana..halafu ukienda kichwa kichwa unaweza ukakemewa na mshangazi hadi uone siku yako imeenda...
25 Reactions
138 Replies
3K Views
Kwa kifupi Nini kimeongezeka Mei Mosi Mwaka huu? Tumeamka na Bei Mpya ya Mafuta, imepanda tena.Changamoto ni zilezile ambazo MAJIBU yake ni kitendawili ambacho mteguaji ameshindwa naye mtegaji...
8 Reactions
22 Replies
656 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
512K Replies
29M Views

FORUM STATS

Threads
1,850,292
Posts
49,542,515
Members
667,377
Latest member
kawatega01
Back
Top Bottom