Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tazama na sikiliza kwa makini mwanzo mwisho video clip hii fupi ya dakika 16 Tundu Lissu akijibu hoja ya ubaguzi na matundu ya muungano wa Tanganyika & Zanzibar (1964) kwa kutumia katiba mbili za...
6 Reactions
19 Replies
803 Views
Nimepata taarifa isiyo rasmi kuwa vigezo vya kijiunga na diploma ya pharmacy vimebadilika kutoka D za kemia na biolojia hadi D 5 zikiwemo fizikia,hisabati na English. Nawapongeza kwa mabadiko hayo...
0 Reactions
4 Replies
41 Views
Moja kati ya vitu vizuri na kuvutia zaidi ni kuona jina zuri aliloku sev mwandani wako Mbali na kutia faraja ila pia huleta hari kujihisi furaha kwa mwenza Je umesev vipi jina la kipenzi chako...
5 Reactions
275 Replies
3K Views
1. Nachukia Mtu ambaye haendi na muda na anajifanyia tu Mambo yake Kienyeji Kienyeji. 2. Nachukia Mtu ambaye hajui Kujipanga Kiratiba na yupo yupo kama Zombie fulani hivi duniani 3. Nachukia Mtu...
7 Reactions
26 Replies
506 Views
HAYA NDIO MAKABILA 125 YA TANZANIA ANDIKA NAMBA YA KABILA LAKO UWAJUE NDUGUZO 1. Waalagwa (pia wanaitwa Wasi) 2. Waakiek 3. Wameru 4. Waassa 5. Wabarabaig (pia wanaitwa Wamang’ati) 6. Wabembe 7...
3 Reactions
44 Replies
600 Views
Mzee alipata kuwa Jaji Mkuu Makamu wa Rais Waziri Mkuu Mwanasheria Mkuu wa Serikali Na badae Tena akaja kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba Hivi nauuliza huyu mzee ndio alikuwa...
0 Reactions
30 Replies
378 Views
Nawashauri vijana WANYAKE MASOKO MAWILI TU MAKUUUBWA SANA NA YOTE YATAMEZA VIJANA WOOTE WAKIACHA UVIVU. 1. CHINA WAMETUPA SOKO LA SOYA BEANS la ukubwa wa tani 400,000 kila mwaka Tanzania kwa...
12 Reactions
48 Replies
724 Views
Kwa ufafanuzi wa jana kuhusu kauli yako kuwa LISU ni mbaguzi kutokea hotuba yake ya Manyara, majibu aliyokupa ilitegemewa wewe kama nguli wa Sheria na uwe na uelewa wa Katiba zote za nchi hizi...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Nimeona kabisa kwa jicho la tatu kuwa anayetufaa hivi sasa kutupeperushia bendera ktk uchaguzi ujao awe Profesa Kitila Mkumbo , Huyu atatufaa sana na ni mtu wa hoja zilizo shiba haswa mfano hili...
1 Reactions
19 Replies
200 Views
Ndugu zangu wana JamiiForums huko kwenu Hali ya umeme ikoje baada ya mvua? Huku kwetu tuna siku 3 mfululizo hatuna umeme maeneo ya vikindu kilongoni tumeshapiga simu weee jamaa wamekausha. Wengi...
0 Reactions
9 Replies
166 Views

FORUM STATS

Threads
1,849,844
Posts
49,529,655
Members
667,251
Latest member
sir dick
Back
Top Bottom