Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

ASSUMPTIONS KATIKA MRADI HUU Katika mradi huu tumetumia Aassumptions zifuatazo ni kwamba; 1:Unenepeshaji utafanyika kwa awamu (phases) tatu. Kila awamu itachukuwa kipindi cha miezi 4, muda huu...
0 Reactions
1 Replies
41 Views
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa Mchezaji wa mashujaa FC, Reliants Lusajo amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara. Amewashinda wafuatao : ◉ Reliants...
2 Reactions
5 Replies
110 Views
Ndugu zangu Watanzania, Napowaambia kuwa David Kafulila ni Chuma nakuwa namaanisha ni CHuma kwelikweli na Mzalendo wa dhati Wa Taifa letu,ambaye huwa hayumbi wala kuyumbishwa wala kutetereshwa...
8 Reactions
28 Replies
256 Views
Habari wakuu. Mwenye mchongo wowote kwa binti tafadhali Yuko Mwanza Elimu kidato cha nne.
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Yani mtu umeacha mambo yako atleast ufuatilie bunge la bajeti lakini badala yake mbunge anachangia hoja, linatokea limbunge lingine linasema taarifa, mchangiaji anakaa chini spika anampa nafasi...
3 Reactions
6 Replies
122 Views
Adani itafanya kazi na kusimamia Gati ya 2 ya Kontena katika Bandari ya Dar es Salaam, Tanzania, kupitia kampuni tanzu ya Adani International Ports Holdings Pte Ltd. Mkataba huo wa miaka 30...
7 Reactions
150 Replies
5K Views
Inawezekana, kwa upande mmoja vitabu vitakatifu na mapokeo kama msingi mkuu wa mafundisho ya dini vimeibua maswali mengi kwa baadhi ya watu kuhusu Mungu. Na kwa upande mwingine, Ukana Mungu ambao...
11 Reactions
148 Replies
2K Views
Zingatia kwamba, unayemfanyia haya si mume wa mtu, kwani anaweza akatelekeza familia yake na kukufuata wewe. Hii ni kwa mwanamke ambaye yupo kwenye mahusiano na mwanaume. Katika mahusiano yenu...
18 Reactions
71 Replies
1K Views
Waweza kumlazimisha mtu kula bila hiari, waweza kumlazimisha mtu akusalimie, n.k. lakini hutaweza kumlazimisha mtu imani yake. Kuna watu huamini katika vidole vyao kwamba vinawapa rizki, wao...
5 Reactions
74 Replies
723 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,877
Posts
49,788,012
Back
Top Bottom