Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Baba yangu mdogo Jana aliniita na kunieleza jinsi anavyoumia kwa kile mdogo wetu amekifanya kwa kutuleteaa mwanaume wa kislamu amuoe wakati sisi ni wakristo. Mzee anasema hivi wanaume wameisha...
20 Reactions
136 Replies
2K Views
Kama kawaida yangu nikiwa na mdodoza mfanyabiashra tajiri mkubwa sna hapa Dodoma Ni mzee simple sna ukimuona huweZi dhani kuwa Ana pesa. Basi kutoka na ninayo yaona Happ ndani ya nchi hi ikabidi...
2 Reactions
9 Replies
118 Views
Taasisi hii ilianzishwa kwa lengo la kupambana na rushwa , na pia taasisi hii haikuanzishwa kwa lengo la kukamata wala Rushwa wadogo Pekee bali walaji wa aina zote wa rushwa. Mara nyingi sana...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Nahisi tatizo lako ni kumuunga mkono Tundu Lissu ndio sababu ukaletewa bilionea akung'oe. Wewe ni mtoto wa Kimasikini hizo siasa hutaziweza njoo CCM upate pumziko la kweli la kisiasa. Mbowe...
2 Reactions
24 Replies
331 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lissu anesema kimsingi viongozi wanaomiliki timu za mpira wanatakatisha Fedha Mnatakiwa mjiulize kuna nini huko kwenye mipira kama siyo kutakatisha Fedha...
1 Reactions
3 Replies
35 Views
Mwenye kufahamu naomba anifahamishe hivi kwanini wanasheria mnaitana wakili msomi 🤔 kwani kuna mawakili sio wasomi ?
19 Reactions
153 Replies
2K Views
Baadhi ya waendesha pikipiki Jijini Dar es Salaam wameomba kuambatanishwa kwenye ziara za Rais Samia Suluhu Hassan anazozifanya nje ya nchi kwa lengo la kuboresha utendaji kazi wao. Maombi hayo...
11 Reactions
39 Replies
556 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
521K Replies
30M Views
Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Msigwa ataongea na Waandishi wa habari Leo saa 5 00 asubuhi nyumbani kwake Kihesa - Iringa Yajayo yanafurahisha na tutawajuza kutokea hapa...
4 Reactions
37 Replies
917 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,739
Posts
49,784,740
Back
Top Bottom