Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mwenyekiti mstaafu wa CHADEMA Kanda ya Nyasa Mchungaji Msigwa ataongea na Waandishi wa habari Leo saa 5 00 asubuhi nyumbani kwake Kihesa - Iringa Yajayo yanafurahisha na tutawajuza kutokea hapa...
4 Reactions
21 Replies
482 Views
Kila mnapojaribu kuwafuta Wayahudi, ndivyo wanazidi kuneemeka na kuitawala dunia, ifike mkubali kuishi nao kwa amani, dini inawadanganya, hamtaweza kufuta Wayahudi wapo kote. Haya huyu hapa...
2 Reactions
27 Replies
583 Views
Ukosefu wa uwazi, ugumu wa kupata taarifa sahihi kuhusu malipo, imekuwa changamoto kubwa kwa wanufaika wa TASAF. Miradi ya TASAF kila sehemu inapaswa kuwafikia walengwa ambao ni Wazee na Wanawake...
0 Reactions
1 Replies
10 Views
Wadau hivi ukinywa Omeprazole na neuroton mwili unakua unauma ndio kawaida zake hizi dawa yaani kifua mbavu mgongo vyote vinauma je niachane nazo
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa kutoka Chuo Kikuu cha Anga cha Korea (KAU) leo tarehe 03 Juni, 2024...
4 Reactions
52 Replies
750 Views
Habari wanaJamiiForums Mim Fene kuna muda Wana na watu wazima pia sometimes huniazima pesa Kuna sometimes ni wateja wangu kutokana na ile mazoea katika kazi Sasa huwa mara nyingi napima relation...
1 Reactions
3 Replies
95 Views
Upinzani mpaka sasa haupo tayari kuungana kuikabili CCM na kuishinda, hawa ni kwa sababu ni wabinafsi na hawana ajenda ya Pamoja lakini pia hawana fedha, uchaguzi ni fedha. Lakini kwa maoni yangu...
11 Reactions
249 Replies
16K Views
Imekuwa ni jambo la kawaida sana Kwa shirika la utangazaji la TBC, kukata matangazo mbashara ya Bunge na kutuletea matangazo mengine. Kwa mfano hivi leo, weshakata mara mbili, matangazo mbashara...
2 Reactions
10 Replies
114 Views
Mwanadada mrembo, mwanamuziki, muigizaji, mjasiriamali na mwanamitindo Hamisa Mobetto 29, yuko mapenzini na Kigogo kutoka klabu ya soka ya Yanga. Mwanadada huyo na Kigogo wapo katika penzi la...
57 Reactions
418 Replies
10K Views
Jamani moja ya kitu ambacho wazungu wametupiga K.O nacho ni hili. Wachambuzi wengi walimwingiza mkenge Fei kwa kigezo cha kusema eti Mpira ni ajira na kuna siku utafikia kikomo. Yes, tunakubali...
1 Reactions
16 Replies
212 Views

FORUM STATS

Threads
1,859,716
Posts
49,784,360
Back
Top Bottom