Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nikiwa kama mwananchi ninapenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa hawa Waheshimiwa wawili. Kwa kweli wamekuwa ni viongozi wa mfano ambao kwa kiasi kikubwa wanashughulikia matatizo ya watanzania...
2 Reactions
11 Replies
153 Views
Chukua simu yako, type any random number halafu ipigie. Atakayepokea, awe jinsia yako au jinsia tofauti mwambie hivi: 'Najua hunijui ndugu yangu, lakini maisha yangu yamekuwa na changamoto nyingi...
0 Reactions
9 Replies
10 Views
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu. NB: Depo ya...
9 Reactions
549 Replies
42K Views
Jamaa siku yao ya kwanza ya ndoa wakiwa kitandani akamuuliza mkewe "Una uhakika mimi ndiye mwanaume wa kwanza kulala nawe?" Mke akajibu "Ndiyo honey, wengine wote ilikuwa hatulali ni shughuli tu...
2 Reactions
2 Replies
3 Views
Kwa sasa chukulia makundi haya mawili, kundi la kwanza ukiwaweka watu wa aina ya kitenge, mwijaku, baba levo na mwanasiasa mmoja, na kundi la pili ukawawweka wasomi wenye digirii na ambao...
2 Reactions
35 Replies
513 Views
Mbona anakuwa kama Mangungo wa Msovero?
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Siku moja nipo kwenye mizunguko yangu ya hapa na pale maeneo ya Ubungo nikakutana na jamaa mmoja baada ya kuzungumza nae kwa muda akaniambia nimelogwa na kuanza kuniambia mambo ya nyumbani kwetu...
11 Reactions
44 Replies
498 Views
Nilimuonya hivi hivi Marehemu Ngumi Jiwe akadhani natanania na kilichomtokea sasa anakijua huko aliko Udongoni.
0 Reactions
8 Replies
9 Views
Katika Ufugaji, mbinu kubwa ya kuongeza faida ni Kunenepesha mifugo kabla ya kuuza. Mbinu au mpango huu hulenga kuongeza thamani ya mfugo sokoni. Ukinenepesha mfugo huongezeka uzani na pia huwa...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Wanaukumbi. 🚨 HAMAS ILITUMA MAJIBU KUHUSU PENDEKEZO LA KUSITISHA MAPIGANO KWA WAPATANISHI PAMOJA NA MABADILIKO. Haniyeh na Nakhaleh walikabidhi majibu ya pendekezo la "israeli" la kusitisha...
2 Reactions
129 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,606
Posts
49,861,632
Back
Top Bottom