Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Ni aibu sana serikali kukubali kuwekwa mfukoni mwa Tapeli. Wananchi wanatapelliwa Kwa matapeli kutumia jina la Waziri Mkuu, Kwa Jina la Rais wa Zanzibar na Kwa jina la Rais Samiah. Lakini hakuna...
2 Reactions
5 Replies
72 Views
Kwanza vitu vingine kwenye maisha sio lazima ni sifa tu, hakuna utofauti wowote kwenye ndoa either ufanye sherehe au usifanye, lakini kumekua na kero kubwa sana juu ya hii Michango ya harusi, ndoa...
2 Reactions
16 Replies
176 Views
Habari za wakati huu ndugu zangu wanajamvi, naimani mwaendelea salama kabisa na majukum yenu ya kulijenga taifa hili la Tanzania ili lifikie uchumi wa kati kufikia mwaka 2020-2025. Nisiwe na...
0 Reactions
1 Replies
498 Views
Mimi ni mkazi wa Dodoma, nimekuwa nikiagizwa sana na baadhi ya wadau hasahasa wale wa mbali na Dodoma na hata waliopo Dodoma,kuwatatulia matatizo mbalimbali ambayo hayawalazimu wao kufika huku...
59 Reactions
328 Replies
22K Views
Kwanza kabisa niseme wazi mimi ni mwanachama wa kawaida wa CCM nisiye na cheo chochote ndani ya chama. Wala siko kwenye kundi la kiongozi yeyote. Kwa hiyo huu uzi naandika bila kujali niko CCM...
0 Reactions
1 Replies
28 Views
Asalaaam aleykum mm n kijana mwenye umri wa miaka 24 natafuta mchumba ambaye umri wake uwe kuanzia 18 had 30 HV mm najishughulisha na ufugaji ila yey shughul c lazma mm n mrefu wastn fut 5.5,maji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema wamealikwa kwenye kikao Cha kupitia Kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa Lakini hawajapewa rasimu ya Kanuni Ili wazipitie na kikao ni June 15...
3 Reactions
30 Replies
693 Views
Mwenzenu nimeumizwa Mara kibao Sana,mpaka naona wanaume wote ni Hali moja,Nina mwaka wa2 Sasa sijadet na mwanaume naogopa,nafikiria ndoa tu kwa Sasa so kuchezeana,me ni binti mxuri Sana najiamini...
14 Reactions
144 Replies
11K Views
Habari wanajukwaa. In short niseme tu umaskin ni janga kwelikweli unavyoona CCM inaendelea kutawala leo ni kwa sababu ya umasikini tulionao, mimi huwa naamini mtu akiwa na Maisha sio ya kitajiri...
2 Reactions
11 Replies
134 Views
Ebana wanajamvi inakuwaje? Nilikuwa natembea kuelekea kwenye Kituo cha basi upande wa pili. Nilipokuwa navuka zebra kuelekea kwenye hicho kituo kulikua na mzee mmoja kakaa anasubiri basi. Cha...
15 Reactions
80 Replies
810 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,645
Posts
49,862,614
Back
Top Bottom