Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu hii game imekuwa tough sana fujo za Kila aina nimemuonea huruma kimsingi amejitahidi kwa uwezo wake. ---
0 Reactions
30 Replies
810 Views
YouTube blogger amekuwa anawauliza raia wa Nigeria swali,kwamba kama inatokea fursa ya kupewa Uraia wa kudumu wa Tanzania au Kenya,watapenda kuishi Nchi gani? Jibu la wengi ni kwamba Watachagua...
4 Reactions
249 Replies
3K Views
Alianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali...
24 Reactions
138 Replies
4K Views
Habari wadau. Kwenye media industry ya Tanzania kuna media mpya imeanzishwa ambayo inamilikiwa na Joseph Kusaga akishirikiana na msanii alikiba. Kusaga ni mzoefu mmiliki wa media nyingi ikiwemo...
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Wakuu, kuna kaproject naenda kufanya hivi karibuni huko Morogoro, nahitaji kujua ni maeneo gani yenye utulivu na usalama kwa mtu mwenye familia kuishi na yaliyo na maendeleo kwa maana ya makazi na...
4 Reactions
65 Replies
1K Views
Niwakaribishe wale wenye kuweza kusoma hukumu na kuelezea inasemaje Kwa mnaonijua, mimi nitakuwa na kitu changu cha Jammaika nikifuatilia michango yenu. Karibuni sana. Mnapotuona msituchukulie...
3 Reactions
25 Replies
254 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kuna video nimeiona kwenye ukurasa wa Twitter wa Maulidi Kitenge ikimuonesha Rais wa Nigeria Mheshimiwa Tinubu akianguka chini wakati akitaka kupanda gari. ambapo ni kama...
2 Reactions
26 Replies
557 Views
Mimi ni Mkristu dhehebu la RC na nililelewa kwenye familia yenye kufuata mafundisho ya RC na nimebatizwa,kupata komunyo ya kwanza hadi kipaimara na kufunga ndoa ya kikatoliki. Lililonileta ni...
70 Reactions
299 Replies
7K Views
Zipo tetesi Msanii Nguli nchini Peter Msechu amealikwa katika tamasha nchini Malawi. Kila la kheri P
3 Reactions
11 Replies
529 Views
https://www.youtube.com/watch?v=9of5FD2D9xw Nimebubujikwa na machozi.
6 Reactions
23 Replies
927 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,745
Posts
49,865,208
Back
Top Bottom