Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kuna mtu nilishawahi kumuuliza Hivi Kutengeneza Juice ya Ukwaju na Ikawa Nzito kama ya Mzee wetu, inahitaji utengeneze na Ukwaju kiasi gani?. na je ushawahi kuona au kusikia wamenunu maembe au...
7 Reactions
44 Replies
1K Views
Wakuu kichwa cha thread kinajieleza,najua humu kuna maadmin na masubadmin au wenye links za magroup mbalimbali wekeni hapa watu wajiunge baccc maana kama mimi najaribu kutafuta movies nyingi...
1 Reactions
19 Replies
114 Views
Wiki imeanza kwa raia wenzetu mbalimbali katika hii nchi kwenye nafasi za kisiasa za chama tawala na wale wa upande kidini kuitaka serikali ifungie mtandao wa Twitter/X Pia itakumbukwa Starlink...
7 Reactions
34 Replies
544 Views
Leo, Taifa Stars Itakuwa dimba la Levy Mwanawasa ikisaka ushindi mbele ya timu ya Taifa ya Zambia Chipolopolo, mchezo kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 Mechi hii itapigwa saa 1:00 usiku 00...
8 Reactions
305 Replies
6K Views
Viongozi wa dini waiomba serikali kuufungia mtandao wa kijamii wa Twitter ( X ) nchini kwani mtandao huo umeonekana ukivunja maadili na taratibu za nchi kwa kuhamasisha ushoga na usagaji...
0 Reactions
12 Replies
107 Views
Mim naitwa Maina ni mtanzania nisoma marekani chuo kikuu cha MIT nina umri.wa miaka 23. Sina muda mrefu kuingia humu JF. Nimekomaa kiakili ila si kimwili. Nilisoma Tanzania kidogo nikahamia...
1 Reactions
31 Replies
320 Views
Kwa muda mrefu sana, CHADEMA wamekuwa wakilaumu kukwama kwa maridhiano kwa sababu ya CCM kutokukubaliana na madai yao mengi. Jambo hili liliwashangaza Watanzania wengi wanaofuatilia siasa, kwani...
1 Reactions
17 Replies
417 Views
  • Poll
kama kichwa kinavyosema wangapi tutampa mheshimiwa profesa kura zetu? Wana ubungo haya uwanja wetu huu
1 Reactions
9 Replies
67 Views
Alianza kama anatania vile mara... "... oooh kunywa pombe sio dhambi.." kumbe mzee wa upako alikuwa anagida bapa huku anaombea na kupaka mafuta ya 'upako' wagonjwa na wenye shida mbalimbali...
10 Reactions
77 Replies
2K Views
Rais Samia amekiri kusikia kelele na matusi ya watanzania juu ya sera zake na uongozi wake. Lakini amesema ameamua kujifanya kuwa kama "chura kiziwi" mpaka dhamira yake na lengo lake la...
17 Reactions
92 Replies
1K Views

FORUM STATS

Threads
1,862,373
Posts
49,855,846
Back
Top Bottom