Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
524K Replies
30M Views
Huko vyuoni mbona hamuweki vitengo vya kuratibu nidhamu na maadili ya watoto wetu wawapo masomoni, Mbona mmefanikiwa kuratibu taaluma na kudhibiti wizi wa mitihani vyuoni. Vyuoni imekuwa sehemu...
1 Reactions
1 Replies
30 Views
Leo nimeunganisha matukio ya vyama vikongwe vya siasa Afrika ambavyo vimeonesha weledi wake na kufanya nchi zao ziwe za kupigiwa mfano Afrika. Chama cha kwanza ni chama cha United National...
9 Reactions
15 Replies
153 Views
Tukumbuke kuwa ingawa Ulaya na Marekani na Canada pamoja na washirika wao Australia, New Zealand na Japan ni Democracy, bado kumekuwa na vyama vya kisoshalist, liberals na green parties (vyama...
6 Reactions
33 Replies
914 Views
Kwa sasa chukulia makundi haya mawili, kundi la kwanza ukiwaweka watu wa aina ya kitenge, mwijaku, baba levo na mwanasiasa mmoja, na kundi la pili ukawawweka wasomi wenye digirii na ambao...
1 Reactions
23 Replies
260 Views
Serikali ni watu na katika watu kuna kundi kubwa la vijana ambalo lina nafasi ya kuipa serikali changamoto nchi ikasonga au ikadorola. Sasa kwa vijana wenye hawa wa kula tunda kimasihara taifa...
0 Reactions
3 Replies
45 Views
Kutokana na malezi ya kisasa na mifumo ya kisasa ya maisha ile kanuni ya mtii mwanaume wako kwa wanawake wa kisasa ni kitu ambacho hawakielewi kabisa wala kujua maana yake wakiwa katika umri wa...
50 Reactions
372 Replies
5K Views
Tanzania Raisi kufungua nchi maana Yake wageni wanaruhusiwa kuja kirahosi ila wazawa kuwa vigumu kwenda nje tofauti na Kenya Kwetu mlango mmoja Tu WA kuingilia ndio unafungiliea watu waje waone...
1 Reactions
2 Replies
49 Views
Dalili na ishara ni za wazi na bayana kabisa, kwamba uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu2024 na ule uchaguzi mkuu mapema oct.2025, itakua na miongoni mwa chaguzi za wazi sana, huru sana...
4 Reactions
32 Replies
332 Views
Habari zenu. Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la whites hasa wazungu kuwa na dada zetu blacks motomoto. Ukipita kwa mitaa,tiktok,fukweni na nchi mbalimbali duniani ni whites na madada...
3 Reactions
41 Replies
773 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,531
Posts
49,859,741
Back
Top Bottom