Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

"Hiki chama kimebeba 'future' na Watanzania wamekiamini kwamba ndiyo chama pekee ambacho kinaweza kui-transform nchi kwa sasa," - JamesMbowe mwanachama wa Chadema ambaye mpaka sasa haijulikani ana...
0 Reactions
4 Replies
119 Views
Salute iende kwenye mada, kiukweli hapa mjini Dar es salam kuna watu nadhani wanaishi maisha mazuri ni kama wako Dubai au New York .Binafsi nimekuwa chawa promax wakumfatilia huyu kijana anaejiita...
12 Reactions
163 Replies
24K Views
Yeye Try again kama amejiuzulu sawa hayo ni matakwa yake Binafsi,Ila Sisi wenye 51%ndio tutachagua Mwenyekiti mpya wa kufanya nae kazi hata huyo Mo mwenyewe hana maamuzi ya kuteua Mwenyekiti...
3 Reactions
6 Replies
36 Views
Wanajukwaa habari zenu! Hivi umewahi kujiuliza, Kwa nini Mboga ni za lazima au muhimu unapokula ugali? Je, umewahi kula ugali bila mboga yoyote ile? Inawezekana? Haiwezekani? Kuna makundi makuu ya...
0 Reactions
9 Replies
42 Views
Wakuu, kuna kaproject naenda kufanya hivi karibuni huko Morogoro, nahitaji kujua ni maeneo gani yenye utulivu na usalama kwa mtu mwenye familia kuishi na yaliyo na maendeleo kwa maana ya makazi na...
0 Reactions
36 Replies
297 Views
https://x.com/FKihamu/status/1800621196662206811
1 Reactions
4 Replies
116 Views
Babati Naibu waziri katumia chupa kwa kijana wa kiume, Mafia DED kabaka Beki 3 , safari hii RC kalawiti binti kwenye gari. Yaani ni ukatili na upwiru tu kwa viongozi wa leo.
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Wazee, mwenye lonja ya lini wajuba wanatoa majina/kupiga simu ya watakaoitwa kwenye usaili awajuze wadau, watu alili zao hazitaki kufanya kazi nyingine zaidi ya kuwaza Depo tu. NB: Depo ya...
9 Reactions
497 Replies
41K Views
Mabosi wa kiume wamekuwa wakiwadhalilisha sana wanawake sehemu za kazi ila wanawake wengi hawana ujasiri wa kusema wazi. 1. Maofisini. 2. Vyuoni. Vionhozi wengi sio waadilifu, wengi ni wasaliti...
2 Reactions
9 Replies
71 Views
Unampenda, unamuamini, unamkubali, unamjali na kumthamini n.k Kiufupi mnapendana sana na mko pamoja kitambo sasa.... Ila kuna jambo moja tu linakukera, linakufedhahesha sana, linakusononesha...
2 Reactions
29 Replies
415 Views

FORUM STATS

Threads
1,862,558
Posts
49,860,662
Back
Top Bottom