Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Imekuwa ni dhahiri kwamba wanasimba wengi hawana elimu ya hizi bilioni 20 na hivyo wana kila haki ya kuzihoji zilipo sababu hawana elimu. Kwa mantiki ndogo kabisa ukimuona ngombe wa bandani...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Una kituko umekiona mtandaoni, tushirikishane hapa…
105 Reactions
222K Replies
17M Views
Utakapoenda kituo cha polisi Oysterbay na ikakupasa usubirie huduma, Utaelekezwa nje, upande wa pili wa barabara. Sehemu yenyewe haina Mabenchi ya Kukaa Ni njia ya Vumbi Hakuna Kikinga mvua wala...
4 Reactions
16 Replies
226 Views
Kuteuliwa kwa marehemu Milton Lupa kuwa DED huko Kilolo Iringa kumeleta tafsiri tofauti vichwani mwa watu. Je, waliopo hai nafasi hawapewi, wanapewa marehemu? Au walio hai hawatoshi au hawafai...
1 Reactions
4 Replies
128 Views
Wananchi wameomba Serikali iwape eneo la mto Msimbazi Ili wajenge Uwanja wa kisasa kama ule wa Manchester United Rais wa Yanga mh Hersi ametoa ombi hilo mbele ya Mawaziri nyeti sana wa Serikali...
2 Reactions
16 Replies
352 Views
Chama cha wafugaji kibiashara(Tanzania commercial cattle society) kimeandaa maonesho makubwa ya mifugo na mnada yatakayoanza tarehe 14-16 juni 2024. Yatafanyika katika shamba la Mbogo ranches...
3 Reactions
18 Replies
222 Views
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume amesema si haki kumshambulia Zuhura Yunus kwa Sababu ya kubadilishiwa kituo Cha Kazi Karume amesema Zuhura ni rafiki yake na anakerwa sana na...
11 Reactions
64 Replies
4K Views
Hivi majuzi tulikusanya orodha ya Nchi 20 Bora zenye Mfumo Bora wa Elimu Duniani na katika makala haya, tutaangalia nchi inayoongoza kwa mfumo bora wa elimu duniani. Mitindo ya Elimu Ulimwenguni...
0 Reactions
4 Replies
47 Views
Habari za Jumapili wanajukwaa,Pia poleni na majukumu ya kutafuta mkate wa kila siku.Niende kwenye mada husika hapo juu hivi huwa unajisikiaje hasa pale unapokutana na rafiki zako mliosoma wote...
23 Reactions
48 Replies
3K Views
Mfano unakuta wakati nazaliwa , wazazi Kwa uono wao wakaamua kunipa jina "MATATIZO" MATESO nk , au nilikua mkristu nikasilimu nikataka kwenda na jina la dini husika, au nilikua muislam nikabatizwa...
1 Reactions
11 Replies
188 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,677
Posts
49,837,578
Back
Top Bottom