Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hivi kwanini wanawake siku za ibada hasa jumapili, wanaifanya kama ni siku ya fasheni na kujionyesha kwenye kujipamba na mavazi tofauti na makusudi ya imani. Kuna wanawake bila nguo mpya anaona...
8 Reactions
39 Replies
350 Views
Uzi huu ni maalum kwa wale wapendao kupeana likes. Hapa comment chochote kasoro lugha chafu utapata like yako saaafii! Karibuni wadau.
930 Reactions
1M Replies
42M Views
Wakuu, kuna mtu nipo nae hapa, anatafuta pharmacy ya kununua ndani ya jiji la Dar, Iwe na usajili, Iwe na mauzo mazuri (250k na kuendelea kwa siku) Offer yake ipo vizuri tu, Kama unayo au una...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Naomba kujua kilichotokea baada ya Mheshimiwa Waziri wetu mpendwa wa Ardhi Jerry Silaa kusema kuna jaji anayeunga mkono wahuni kushinda kesi wanapoiba ardhi za watu. Je, mpaka sasa Tume ya...
1 Reactions
23 Replies
171 Views
Natumaini wote wazima wa afya. Naomba kujuzwa: ni chuo gani nchini Tanzania kinafundisha matengenezo ya zile mashine zinazotumika Hospitalini(Dental,Scanners,......)?? Natanguliza shukurani
1 Reactions
7 Replies
91 Views
Waungwana hamjambo? Nimetoka kazini saivi, mke wangu akaniita jikoni niende kuangalia alichopika. Nikajivuta nikaenda mara nasikia notification ya Whatsapp ndindindiii Kufungua boss katuma...
9 Reactions
60 Replies
2K Views
  • Suggestion
Utangulizi: Uchaguzi ni Haki ya msingi katika nchi yenye utawala bora ambao ni utawala unaofuata misingi ya sheria, haki, usawa, uwajibikaji, ushirikishwaji, demokrasia katika kuchochea uhuru...
9 Reactions
5 Replies
237 Views
Nimekutana nae hapa Mbezi Makonde EB Restaurant. Jamani unaweza kufa au ukauza ukoo wote!!! Hivi anapatikana wapi?
23 Reactions
324 Replies
53K Views
yaani mwendo wa kuchinja tu, tena wanachinja maskini walalahoi wasiokuwa na mbele wala nyuma, huwa najiuliza siku mkija kugundua huyo "mungu" wenu sie na kwamba muda wote mumeua watu ili kumkosha...
0 Reactions
13 Replies
377 Views
"Fedha zote ambazo MO alikuwa anazitoa yaani za kununua mchicha, kununua kandambili boxer za wachezaji zozote zile ambazo ametoa kwenye Simba Sports Club anazidai, na ameelekeza zibadilishwe ndio...
4 Reactions
48 Replies
699 Views

FORUM STATS

Threads
1,861,536
Posts
49,833,327
Back
Top Bottom