Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mf;G.Malisa ,Mwanamapinduzi Singida kifupi police wameshapewa order toka juu kukamata wanaharakati wote ambao wanachipukia na wakosoaji wa serikali hali hii itarudi kwa kasi kabla ya uchaguzi wa...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
268 Reactions
164K Replies
5M Views
Leo Israel imeshambulia kusini mwa Lebanon kwa ndege vita zake kama kitendo cha kulipiza tukio la Hezbollah kushambulia kaskazini mwa Israel kwa drone kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine 10 leo...
3 Reactions
14 Replies
289 Views
Swali ambalo huwa najiuliza, hivi ufanye huu ukatili wote halafu hatimaye uje kugundua huyo "mungu" unayemuadu kumbe siye. Njemba nne zilizoshiba zinamchangia mwanamke mmoja na kumcharaza kisa...
2 Reactions
10 Replies
112 Views
Ukiangalia kwa makini siasa za Afrika zinavyoendeshwa Kwa Sasa, unaweza kuona pasina shaka kuwa mserereko wa kurudi nyuma miaka 200 iliyopita ni mkubwa sana. Kabla ya Mkutano wa Berlin...
3 Reactions
5 Replies
94 Views
Wakuu kwema? Msaada kwenye tuta, nimepata ajira posta, nahitaji room yenye choo kwa 100k na sehem ambayo ni rahisi kufikika na kwenda kazi, kama gari nikipanda moja linatosha.kuwe na maji ya...
3 Reactions
25 Replies
384 Views
Sio utani. Wakuu heshima kwenu. Vyanzo vyangu vya uhakika kabisa ambavyo vingine viko kwenye jungu la ushauri la uteuzi wa rais vimeniambia ndani ya wiki moja mpaka mbili jina langu litakuwa...
8 Reactions
37 Replies
1K Views
Kama unabisha azima simu kwa waislamu watano wanaopenda kusikiliza nyimbo, lazima tu utakutana na kwaya kadhaa. Kwa upande wa Wakristo Kati ya 100 hutapata qaswida hata mmoja. Kati ya harusi 100...
2 Reactions
16 Replies
186 Views
Wakubwa mambo vip? Mwenye uzoefu wa biashara ya saloon ya kiume naomba asaidie kushare faida na hasara au changamoto kwa ujumla za biashara hii. Asanteni sana
1 Reactions
10 Replies
880 Views
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao. Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule? Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee...
27 Reactions
98 Replies
5K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,177
Posts
49,822,057
Back
Top Bottom