Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Salaam shalom!! Tulipopata Uhuru wa Nchi yetu, hatukuwa na wawekezaji wengi wa kuwekeza kwenye migodi, Serikali ilihodhi vitega Uchumi vyote na kusimamia, Hawa wawekezaji wa sasa, nionavyo Si...
13 Reactions
93 Replies
809 Views
Habari za wakati huu ndugu zanguni. Nimekaa mahali maeneo ya magomeni karibu na bara bara kuu nikasikia hilo tangazo, wakitangaza kupitia gari ndogo maarufu kama "KIRIKUU" Kwa mujibu wa...
6 Reactions
68 Replies
944 Views
Tulishapoteza imani kwa Watanzania kuwa sisi ni chama cha ukombozi na wapinga ufisadi. Hayati JPM alikubalika kwa wanananchi masikini na wanyonge kuwa mtetezi wao. Kwa siasa za kupiga madili...
0 Reactions
7 Replies
8 Views
Habari za asubuhi wadau Kama kichwa cha habari kinavyo sema. Nina uhakika kila siku naota ndoto nikiwa usingizini, lakini cha ajabu ni kwamba nikiamka tu asubuhi sikumbuki ndoto hata moja. Ni...
4 Reactions
134 Replies
872 Views
1-Kama Mwanamke ana tattoo tumia condom. 2-kama mwanamke ni mlevi anapenda sana bia .....tumia condom. 3-Kama Mwanamke akiwa na wewe ana zima sim .....tumia condom. 4- Kama Mwanamke yeye ndio...
0 Reactions
3 Replies
4 Views
Mimi kwakweli ile album ya wenge musica bcbg yenye nyimbo kama masuwa, bana lunda, ndombolo n.k ilinikuta katika mapito magumu. Leo hii nikisikia nyimbo yoyote ya kwenye ile album nakumbuka...
3 Reactions
26 Replies
76 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo leo tarehe 08/06/2024 kinafanya Mkutano wake wa hadhara Singida Mjini, ambako Makamu Mwenyekiti wa chama hicho, Tundu Lissu atahutubia wananchi. Kama ilivyo...
4 Reactions
16 Replies
406 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
523K Replies
30M Views
Salaam wakuu, Nijielekeze kwenye hoja. Serikali ilikuja na Mpango mzuri sana wa kukusanya kodi za majengo kupitia matumizi ya Umeme (Luku) Ulikuwa ni mpango mzuri sana kwakua hakuna mtu...
2 Reactions
19 Replies
467 Views
Kama ulkua Haujui, Basi tambua simu unayomilik inaweza kukutambulisha wew ni Mtu wa Aina Gani Kitabia, Nakusogezea Angalia chama lako 1. IPHONE -watu wanaoigiza maisha. kwa Mwanamke anaonekan...
53 Reactions
220 Replies
5K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,355
Posts
49,827,270
Back
Top Bottom