Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Hesabu ndo inafunza kufikiri sawasawa. Wale wote wanaofaulu hesabu vizuri lazima akili iwe smart sana. Sasa kuna wale waliosoma history, kiswahili etc eti nao wanajiita critical thinkers wakati...
0 Reactions
14 Replies
73 Views
1. Ukipewa simu kama unaoneshwa pengine picha, tazama kisha rudisha na sio kuendelea kutazama picha zingine. 2. Ukipiga simu kama haitopokelewa, tuma meseji na sio kupiga mara nyingi hususani...
28 Reactions
130 Replies
1K Views
NIMEKUJA KWENYE IBADA MOJA HUKU BANANA TUKO SEHEMU YA KUANDIKA MAADUI ZETU TUWAOMBEE WACHOMWE MOTO WALE WALIOKUTESA WANAOKUTESA MAKAZINI WANAOTESA NDOA ZAKO BIASHARA ZAKO AFYA ZAKO VIPATO...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Vijana wengi wanatazama tv si kwa lengo la kupata elimu na habari muhimu,bali wanatazama kuiga mambo.Mf anatazama maigizo anajifunza kuharibikiwa maadili kama binti mdogo anaiga majibu ya...
4 Reactions
7 Replies
99 Views
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni simu gani nzuri kununua kwa bei ndogo, kwa hiyo thread hii itakuonesha simu 5 za kununua kama budget yako ni chini ya laki 4 na simu 5 za kununua kama budget...
7 Reactions
14 Replies
269 Views
  • Suggestion
Umoja wa Mataifa unaiweka Tanzania katika kundi la Nchi maskini Zaidi (LDC). Hata hivyo, ikizingatiwa rasilimali nyingi na uwezo mkubwa wa nchi yetu, hadhi hii inaonekana kutofaa. Kwa kujifunza...
6 Reactions
11 Replies
464 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
124 Reactions
523K Replies
30M Views
Ukweli ndioo huo kila siku mtaaan watu wanaongeaa peke yao kama wako na famlia unawaza anaongea na nanii..loh
7 Reactions
18 Replies
324 Views
Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Geita, Rose Busiga amegaragara chini wakati akimuombea kura Rais Samia Suluhu Hassan na Naibu Waziri Mkuu, Doto Biteko wakati wa mkutano wa hadhara katika kijiji cha...
2 Reactions
9 Replies
10 Views
Yani ukiwa handsome, kwanza watu hawakuzanii vitu vya ajabu kama wizi, kukipotea kitu anaangaliwa mtu mwenye sura ngumu ndo anadhaniwa ni mwizi. Pia tunapata favor maeneo mengi, yani hata kazini...
26 Reactions
141 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,861,314
Posts
49,826,076
Back
Top Bottom