Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

kUNA CLIP INASAMBAAA DC KAFUNGA SIJUI DANGURO LA RIVERSIDE AJABU KATANGAZA BAR ZILIZO KARIBU NA DANGURO ZIFUBGWE HIZI BAR ZINALIPA VIBALI VYOTEE MANISPAAA NA TRA KUNA KIKI ZA KULAZIMISHA ZISIZO...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao. Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule? Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee...
12 Reactions
46 Replies
2K Views
FULL TIME 90' Zinaongezwa dakika 5 za nyongeza 88' Shambulizi kali langoni mwa Yanga lakini kipa Diarra anafanya kazi nzuri ya kuzuia 82' Morrison ametoka, ameingia Farid Musa 80' Wachezaji...
7 Reactions
886 Replies
38K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nimeona nisema haya mapema sana ili yakitokea ya kutokea CHADEMA wasije anza kusema wamehujumiwa na serikali au CCM. Kwa sababu mtu mvivu wa kutumia akili akipata tatizo...
0 Reactions
1 Replies
16 Views
Habari WanaJamiiForums Mimi ni mama wa watoto wawili na ndoa ya miaka kumi hapa nilipo sijui furaha ya ndoa ni ipi. Nina mume ambae anajiona yeye ni mkamilifu ila mimi hata nifanye nini...
10 Reactions
80 Replies
1K Views
Habari za weekend ndugu zangu, Kuna muda kwenye Maisha unahitaji mtu sahihi wa Ku share naye upendo na mapenzi yako, mtu ambaye atakudekea, utamdekeza, utampenda na kumuheshimu, ujisikie furaha...
6 Reactions
29 Replies
508 Views
Hivi kuna mtu nyuma anaangalia kama watu kama Songesha, Nivushe na watoa mikopo kwenye simu kama hizo hela wanazokopesha wanazo keshi? Kwa picha ya fasta fasta hawa jamaa ni zaidi ya benki kuu...
13 Reactions
96 Replies
2K Views
Kuteua marehemu katika nafasi za serikalini ni ishara ya tatizo kubwa katika mchakato wa vetting au uhakiki wa viongozi wanaoteuliwa. Mchakato wa vetting ni muhimu kwa kuhakikisha kuwa wale...
0 Reactions
2 Replies
59 Views
Mkuu wa wilaya ya Ubungo Hassan Bomboko usiku wa kuamkia jana alishutukiza katika moja ya sehemu ya Daguro kubwa la kujiuza eneo la Ubungo Riverside na kuagiza baadhi ya bar maeneo hayo kufungwa...
6 Reactions
9 Replies
149 Views
Tunafanya delivery kwa Wakazi wa Dar Unalipia ukipokea bidhaa yako Free delivery kwa Wakazi WA Dar(10KM) Tupo kariakoo mtaa wa ndanda na magira
6 Reactions
1K Replies
33K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,963
Posts
49,816,070
Back
Top Bottom