Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Nimeitafakari sana kauli ya Zitto aliyoitoa kipindi kile ana mgogoro na kilichokuwa chama chake cha CHADEMA mwaka 2014. Akijaribu kumaanisha kuwa huenda kifo cha Chacha Wangwe kilikuwa na walakini...
10 Reactions
50 Replies
1K Views
Je ulishawahi kutoka kimapenzi na Rafiki wa mpenzi wako? Binafsi nilipita na marafiki watatu wa mpenzi wangu kwa mpigo na wote walikuwa wananipenda cha kushangaza licha ya kuja kujuana hawakuwahi...
7 Reactions
103 Replies
16K Views
Serikali yetu tukufu imejaa wanafiki wa kupindukia. Inalia machozi ya mamba na watanzania huku nyuma wakila kwa urefu wa kamba zao na wachina. Nimefuma hiyo hapo juu mahali fulani ili wabunge...
0 Reactions
2 Replies
90 Views
Yaani huyo Mtu ameiva kote kote kuanzia Habari, Mawasiliano na Maadili halafu pia hata Kichwani yuko vizuri namkubali.
4 Reactions
13 Replies
119 Views
KUNA kitu kinaendelea ndani ya Simba . Huenda kufikia leo yakatokea mabadiliko makubwa kwenye uongozi wa juu. kama mambo yataenda sawa Leo au kesho Barbara Gonzalez atatangazwa kuwa Mwenyekiti na
1 Reactions
2 Replies
3 Views
Wakati unalala ukiwa umewasha feni ama ac hii ndio hali halisi ya Makete
4 Reactions
26 Replies
512 Views
Habari za muda huu wanajamvi? Ni matumaini yangu kwamba mnaelendea vyema na majukumu yenu. Nimekumbwa na msongo mkubwa sana wa mawazo baada ya kugundua mdogo wangu wa kiume Ana mahusiano ya...
30 Reactions
255 Replies
20K Views
Ni kwa kipindi kirefu tumeona serekali ikipambana sana kuzuia matumizi ya bangi na miraa (mirungi) lakini kwa tafiti zangu binafsi kwa wale watumiaji sijawahi kuona mtumiaji wa bangi amekosa bangi...
1 Reactions
27 Replies
295 Views
Mtu akitaka kumiliki bastola utaratibu ukoje wakuu. Na je unajinunulia mwenyewe unayoitaka au zipo unalipia wanakupa.
1 Reactions
1 Replies
2 Views
Kuna Propaganda mpya dhidi ya Waislamu. Wako wanaofurahia propaganda hizo. Wako wanaoamini propaganda hizo. Wako wanaolipwa kwa kuandaa propaganda hizo. Propaganda hivi zimaendezwa kwaa media...
2 Reactions
213 Replies
3K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,949
Posts
49,815,550
Back
Top Bottom