Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

  • Article
Nimezoea kunywa maji ya kawaida lita 2 asubuh kabla sijaja kitu. Sasa kuna mdau kaniambia niache eti kasema hayo maji ni mengi yatapandisha sukari mwilini mwangu Jamani hii kweli au mshikaji...
0 Reactions
8 Replies
69 Views
Mbunge wa Geita Vijijini Dr Musukuma amehoji " kama bunge halina meno sasa tuko humu Ndani kufanya kitu gani?" Musukuma amedai tangu enzi za Kafulila aliyeitwa Tumbiri, tukaambiwa ni vihela vya...
16 Reactions
59 Replies
2K Views
Chief Executive Officer wa PPP Tanzania Bwana David Kafulila amesema Serikali ya Rais Samia Suluhu imeamua kuzika kabisa tatizo la Umeme Tanzania. Pamoja na Bwana la Mwl Nyerere (SG) baada ya...
21 Reactions
128 Replies
3K Views
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa...
268 Reactions
164K Replies
5M Views
Mkurugenzi Mtendaji wa PPP Tanzania Mhe David Kafulila amesema ule mradi wa barabara za kulipia(toll road) uliokwama tangu awamu zilizopita Sasa kwenye awamu hii ya sita umeiva. Mhe Kafulila...
33 Reactions
200 Replies
5K Views
  • Sticky
Shirika la Umeme Tanzania - (Tanzania Electric Supply Company Limited - TANESCO), Tunaomba mtupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri kupitia huu uzi nasi tutawajibu. Tunawaomba mzingatie...
86 Reactions
14K Replies
1M Views
Mkurugenzi Mkuu wa Ubia kati ya Sekta binafsi na Serikali ya JMT Mhe David Kafulila akiwa kwenye kipindi Cha DAKIKA 45 kinachorusha katika runinga ya ITV ameuambia umma wa Watanzania mambo...
28 Reactions
335 Replies
7K Views
ABDU FATAH MUSSA MTANGAZAJI WA RADIO TEHRAN IRAN Ulikuwa mwaka wa 2000 Uchaguzi Mkuu wa Pili baada ya uchaguzi wa kwanza 1995. Niko Tanga. Sikumbuki vipi tulifahamiana lakini ninachokumbuka ni...
4 Reactions
36 Replies
805 Views
Leo/ jana Rais Samia kafanya tena ile kazi aiwezayo vizuri: kateua na kutengua baadhi ya watumishi wa serikali. Ila safari hii yawezekana kaandika rekodi ambayo haijawahi kuandikwa duniani...
1 Reactions
7 Replies
152 Views
Habari ambazo sasa zinaingia hapa kwangu kwa mbaaaaaaaaaaaaaali zinaonyesha kwamba Chadema wana nia ya kuendeleza maongezi juu ya hatma ya tuhuma dhidi ya Ufisadi na mafisadi wa Tanzania . Kwa...
0 Reactions
63 Replies
9K Views

FORUM STATS

Threads
1,860,900
Posts
49,814,106
Back
Top Bottom